Umesahau yutong zileKuna watu wana mpango wao wa kutakatisha mipesa mingi mingi mkuu hii ni janja janja tu.
We hujiulizi hivi ni hawa waligawa piki piki nchi nzima.? Na baiskeli?
Hawa watu nahisi wanataka kutakatisha fedha za wiziHahahaha......Ndugu zangu siasa zimegeuza ubao. Leo ccm wanakuja na tone tone?
Wana wanachama takribani 13M kwa mujibu wa taarifa zao, kama ni za kweli au la sijui lakini Mwanachama mmoja mmoja tu akitoa elfu 10 ni mabilioni ya hela. Je wameshindwa kutumia fursa hiyo?
Baadhi ya wadau wamehoji kwanini CCM imekopy mbinu na taratibu za Chadema mkakati ulioanzishwa na Katibu Mkuu wa Chadema John Mnyika na Godbless Lema.
Wengine wamesema ni siasa tu kujaribu kuamsha ari za uchaguzi na kwamba pesa wanazo ila tu wanazuga.
Lakini kama kweli kuna ukata ndani ya Chama ama la hilo lina baki kuwa siri yao.
Kiichonichekesha ni kuja na Tone tone ambayo waliibeza.
Chadema siku zote iko mbele ya muda na muda ni mwalimu mzuri
Yalikuwaje?Yanajirudia ya 2005
Ccm ni Chama kikubwa, pia kimewekeza na kina miradi mingi. May be matumizi yameongezeka.Hawa watu nahisi wanataka kutakatisha fedha za wizi
Juzi tumeona wamenunua mabasi na magari mapya achilia mbali mamia ya pikipiki na baiskeli huu ni mzaha wa hovyo sana.
Kwa Nini Samia asiombe msaada Dubai na Emirati kwa ujumla badala ya kuwakamua watu maskini bilioni mia moja?
Labda DP,Taifa na Lake oil wabebe mzigo wote.
Mkuu una uhakika mbona unawatuhumu vibaya?Hao ni wezi hiyo ni zuga tu fedha za umma wamekwapua kwenye sukari n.k. na kununua baiskeli kila mkoa na kijiji pamoja na pikipiki kila mkoa halafu leo waseme hawana hela ! Msidanganyike na haonwezi wa nchi yetu hayana huruma hata kupoteza watu yakikosolewa.
Kabisa wanatafuta uhalali wa upigaji tuKuna watu wana mpango wao wa kutakatisha mipesa mingi mingi mkuu hii ni janja janja tu.
We hujiulizi hivi ni hawa waligawa piki piki nchi nzima.? Na baiskeli?
Uliona zile yutong?Kuna watu wana mpango wao wa kutakatisha mipesa mingi mingi mkuu hii ni janja janja tu.
We hujiulizi hivi ni hawa waligawa piki piki nchi nzima.? Na baiskeli?
Eehh Mungu....
Nifundishe kunyamaza...teh🤣
Kausha usiwashtueWahuni sio watu. Wameshamchungulia golikipa
Kama unatukana kwenye nyuzi zangu pita kimya kimya. Jfs ni jukwaa la waungwana wanajadili mambo ya Kitaifa. Bangi zako peleka kuleWanatuona kama matako yao
Huna lolote chawa wa jimamaKausha usiwashtue
Mbona Chadema na ACT wao wanachangishaWameona wachukue na pesa kidogo za maskin wenye shida ..hata buku yako wanaitaka...