GE2025 Tunakwenda na Samia 2530

GE2025 Tunakwenda na Samia 2530

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt, Samia Suluhu Hassan afanyiwa Dua na Watoto Yatima aliposhiriki Kongamano la Amani kuelekea Uchaguzi Mkuu lililoandaliwa na Umoja wa Maimamu Tanzania (UMATA), Ukumbi wa Diamond Jubilee Dar es salaam leo August 24,2025.

#tunamjua #ssh #taifa #ccm
Huyo kilaza kapata fursa ya kuwa tajiri kupitia rasilimali za Tanganyika. Ngoja akwapue... Pengine mbele ya safari huko sheria zitabadilishwa apate stahiki yake!
 
Back
Top Bottom