Recent content by Just talker

  1. Just talker

    Nani aliyemuumba Mungu?

    He is talking about God not Gods elewa swali. Again Christian God is God not Jesus ( Jesus is a son of God ) kwa waislam sifaham zaidi. Kwahiyo swali lake ni kwa mungu sio miungu 🙏🏾🙏🏾
  2. Just talker

    Lazaro Nyalandu jibu hizi tuhuma

    Ila bongo 😂😂 kwahiyo tumeyakumbuka sasa hivi baada ya yeye kurudi CCM ?? KWANINI hatukuhoji akiwa CHADEMA? Au mtu akiwa chadema anakuwa msafi ila akitoka anakuwa mbaya. Kama tuliamua kunyamaza akiwa huku basi kaamua kuondoka tumuache ale maisha 😂. Sema SIASA ZINABOA SANA MUDA MWINGINE
  3. Just talker

    Uhamiaji Tanzania: Bila dhumuni la safari hakuna kupewa pasi ya kusafiria (Passport)

    Ilikuwa hivo ila inatakiwa ibadirishwe sehemu. Mfano una sababu ya kusafiri mfano unaenda kutembea tu Kenya au kukutana na rafiki yako Kenya au nchi yoyote bado wanakudai uoneshe barua ya mwaliko wa huko unakotaka kwenda.
  4. Just talker

    What is "DEEP STATE"

    Nimesoma post na comments kwanza then ndiyo niongee nacho kifahamu pia. Kuna mdau kasema kuwa hawapigi kura sio kweli kwanza watu wa aina hii hawajulikani ni akina nani ni jinsi gani na ni wangapi ila ni binadamu kama sisi ( inasemekana na wengine wapo wasio binadamu wa kawaida) na kura wanapiga...
  5. Just talker

    Kanisa la Shetani laipeleka Serikali ya Texas Mahakamani kwa kuzuia haki yake ya kutoa kafara Watoto wachanga

    Sijaisoma thread nzima ila imepata point. Hapa kuna mambo Matatu ( Texas, Ann Doe na Abortion) swali langu hivi kufanya abortion ni kutoa kafara ? huko Texas kulikuwa/ Kuna sheria inayo mruhusu mwanamke kutoa ujauzito wake, lakini sheria hii imechange kidogo kuwa utaruhusiwa kutoa lakini lazima...
  6. Just talker

    Kuweni makini na huyu mtu

    Don’t ever trust anybody hata kigogo mimi sijawahi muamini. Unaye msemea hi huyu
  7. Just talker

    Ukweli kuhusu maisha ya mbele ya binadamu

    Hilo swali nishalifikiria sana hadi silipatiii majibu. Binafsi naona haiwezi kuwezekana ile walijaribu kufanya vile ila haiwezi kuwa reality. Ninacho weza kukiamini ni kuwa ukienda mbele au kurudi nyuma hauwezi kuchange kitu chochote labda utashuhudia tu. Kuna muda nawaza ukirudi nyuma huenda...
  8. Just talker

    CHADEMA ni chama Kikuu cha Upinzani kwa vigezo gani?

    Mimi nafikiri ungemjibu kistaarabu angeelewa pia. Ushampatia jibu tayari kwenye asilimia japo kwa mbinde 😂
  9. Just talker

    CHADEMA ni chama Kikuu cha Upinzani kwa vigezo gani?

    Swali alilo uliza linahitaji majibu kwa fact sio kuachama na maneno kudondoka. Wewe umejibu kwa shali Wakati ameuliza kwa nia ya kuhitaji kufahamu. Si bora ungekaa kimya kama sisi wengine ambao hatuna majibu tunasubiria wenye uelewa wa hili watoe majibu. Tanzania sijui akili zetu zilienda wapi
  10. Just talker

    Tundu Lissu, hana mapenzi mema na Watanzania

    Ambaye ni nani?
  11. Just talker

    Tundu Lissu, hana mapenzi mema na Watanzania

    Aliye sema alijipiga ni nani? Au kuna muda huwa hauelewi vizuri
  12. Just talker

    Tundu Lissu, hana mapenzi mema na Watanzania

    Unafiki upo wapi?
  13. Just talker

    Tundu Lissu, hana mapenzi mema na Watanzania

    GET WELL SOON 🙏🏾🙏🏾
Back
Top Bottom