Recent content by junky

  1. junky

    JamiiForums Tanzania Jana nimeamini ushirikina upo, wamakonde heshima kwenu

    Magomeni lkn sura nyingi zilitoka mbagala na sehem zingine,.chakula kimegeuzwa lkn mwisho wa siku yakageuka kuwa mchele na maji.. Kuna dada alitala afunguke aliyepandisha lkn walimuwahi hawakumpa nafasi
  2. junky

    JamiiForums Tanzania Jana nimeamini ushirikina upo, wamakonde heshima kwenu

    Siku ya Jana nilihudhuria Moja ya msiba hapa Dar es salaam.Msiba huo ulihudhuriwa na watu wengi akina mama,baba,wazee na vijana. Kituko kilikuja pale chakula kilichokuwa kinapikwa kutokuiva wakati wapishi waligeuza wali na kufunika kwakuwa maji yalikuwa yamejichuja yote cha kushangaza Kuna dada...
  3. junky

    JamiiForums Tanzania Mchiriku: Hisani Musical Club (Gari Kubwa)

    Kumbe walikuwa watu wabad
  4. junky

    JamiiForums Tanzania JF Photo Library: Mada maalum ya Picha za Zamani

    Juma mpogo mtunzi,muimbaji ,mc, Mpiga kinanda Pia anajua kupiga Ngoma na mpangilia midundo /vyombo Mungu amuweke pema hana baya
  5. junky

    JamiiForums Tanzania Mchiriku: Hisani Musical Club (Gari Kubwa)

    Hawakuwa wanamuziki bali walikuwa masela wa tandika Soweto ambao walikuwa ni marafiki sababu maskani ni zile zile ..hivyo vifo vyao vilishtua na kuacha majonzi
  6. junky

    JamiiForums Tanzania Mfumo wa kuchezesha wachezaji wa Academy kwa Tanzania upo?

    Tanzania sio Simba na yanga Winga tepsie Evans Azam wamempandisha kutokea Chini na amefanya vzr na wapo wengi kwa Azam Kiuhalisia timu zetu hazina academy Bali Kuna timu za vijana na kuhusu vijana kutoka chini kupewa nafasi timu kama mbeya city imefanya hivyo sana Richardson ng'ondya kipaji...
  7. junky

    JamiiForums Tanzania Makinda hodari wanaotegemewa kufanya vizuri Tanzania

    Hawa ndio makinda wanaotabiriwa kufanya makubwa mbeleni 1. CYPRIAN KACHWELE Amezaliwa November 2007 ana miaka 15 ni mshambuliaji aliyekulia kwenye academy ya Azam na anayefanya vizuri kwenye kikosi Cha Azam na anayetazamiwa kuwa rashford wa Azam. 3.CLEMENT MZIZE Ni mshambuliaji wa yanga...
  8. junky

    JamiiForums Tanzania Oscar Oscar: Ni kweli Tshabalala na Kapombe wamezeeka?

    Datius peter Moja ya fullback 2 mzuri kwa msimu wa pili mfululizo..Tokea akiwa polisi tz alikuwa na kiwango kizuri Hadi Kagera wakamsajili.yupo offensive na anakaba Yahya mbegu Moja ya fullbeki 3 ninayemtabiria makubwa mbeleni tokea polisi tz alifanya vizuri Hadi geita wakaona kipaji chake na...
  9. junky

    JamiiForums Tanzania Mkasa wa msanii Omary Omary na imamu wa msikiti ambaye ni baba yake

    Sasa hivi Kuna singeli akina dulla makabila Mnanda naona ndio basi maana waimbaji wakuu wengi wmefariki sidhani kama utarudi tena .
  10. junky

    JamiiForums Tanzania Niulize jambo lolote kuhusu mziki wa Mchiriku/Mnanda

    Hivi chichi baunsa alikuwa anahusika na nini 7survival kitengo chake Maskani Yao ilikuwa mtoni au Tandika ndugu
  11. junky

    JamiiForums Tanzania Hivi first gentleman akiiona hii picha anajisikiaje?

    Nilimkuta mzee ana around 75 analia sababu ya mapenz mkewe aliyeishi miaka yote kamkimbia
  12. junky

    JamiiForums Tanzania Chanika umwinyi ulipitiliza nadhani fundisho wamepata sasa

    Kata nyingi Dar es salaam ukiacha mitaa ya kishua kama masaki,osterbay,msasani,upanga na nyinginezo zinazofanana na maeneo hayo pia kuna kata za kistaarabu yaani za wastani kidogo zina afadhali na unafuu Lakini asilimia kubwa za kata jijini Dar ni mchanganyiko ya wa walionacho na wasio nacho...
  13. junky

    JamiiForums Tanzania Nataka kuhamia Tandika kaburi moja lakini naombeni ushauri na msaada kwa wenyeji wa maeneo hayo

    Kabisa ikifika saa moja wanakuwa makini sana macho juu juu sababu ya patrol ya wazee
  14. junky

    JamiiForums Tanzania Nataka kuhamia Tandika kaburi moja lakini naombeni ushauri na msaada kwa wenyeji wa maeneo hayo

    Ww acha ubishi Nyuma ya goli ya kiwanja kikubwa kuna miti miti mingi na kuna mapira yapo hapo kuna maskani kibao ya ganja ikifika jioni watu kama wote wamejaa kila mtu na maskani yake na mapusha kama wote Kuna pusha mmoja apollo sijui bado yupo hio 2020 2021 na wengine kibao ilikuwa jioni...
  15. junky

    JamiiForums Tanzania Nataka kuhamia Tandika kaburi moja lakini naombeni ushauri na msaada kwa wenyeji wa maeneo hayo

    _usiku usipende kutembea _ishi na majirani na watu wanaokuzunguka vizuri _tafuta mwenyeji ujengee nae urafiki kama ni kijana ili uzoeleke na kidogo uishi kwa amani Kaburi moja ,maputo ni uswahilini na kuna ujinga ujinga mwingi na usela mavi
Back
Top Bottom