The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,111
- 115,905
Kwa wale tunaofatilia Sana mpira wa Ulaya mtakua mnajua jinsi wenzetu wana mifumo wa kuruhusu wachezaji wa Academy kucheza mechi yeyote wakati wowote na timu kubwa.
Mchezaji wa academy anakuwa hawekwi kwenye list ya waliosajiliwa lakini wakati wowote akionekana anafaa anapandishwa tu kucheza na wakubwa bila kusubiri msimu wa usajili, huu mfumo unawapa nguvu Sana wachezaji WA Academy kupata uzoefu.
Nauliza huu mfumo tunao Tz? Sijawahi sikia Simba au Yanga wameleta mchezaji kucheza ligi kuu ambae alikuwa academy unless awe ameshatajwa kwenye usajili mwanzo wa msimu.
Naomba kuuliza huu mfumo upo na kama haupo why usiletwe?
Mchezaji wa academy anakuwa hawekwi kwenye list ya waliosajiliwa lakini wakati wowote akionekana anafaa anapandishwa tu kucheza na wakubwa bila kusubiri msimu wa usajili, huu mfumo unawapa nguvu Sana wachezaji WA Academy kupata uzoefu.
Nauliza huu mfumo tunao Tz? Sijawahi sikia Simba au Yanga wameleta mchezaji kucheza ligi kuu ambae alikuwa academy unless awe ameshatajwa kwenye usajili mwanzo wa msimu.
Naomba kuuliza huu mfumo upo na kama haupo why usiletwe?