Mtoboa siri
Senior Member
- Mar 11, 2019
- 180
- 686
TAARIFA!!! Aliekuwa mpiga kinanda wa Hisani Gari kubwa na baadae Tumaini Jabali aitwae Muddy Kadogo amefariki dunia. Kwenye album za Hisani Gari kubwa kuanzia ya kwanza hadi ya nne huyu mwamba ndio aliepiga kinanda.
Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app