Recent content by junior john edward

  1. J

    JamiiForums Tanzania Nampenda sana, jamani naomba ushauri

    umri wangu ni miaka zaidi ya 25 ni mkaz wa mby city. knamsichana nampenda sana kiasi kwamba sitamani msichana yeyote mwingine ktk dunia hii, lakin kinachoniumiza tangu nimekua naye hamna kipindi ambacho tumewahi kukaa kwa amani angalau wiki 2, ni...
  2. J

    JamiiForums Tanzania Natubu nilikula kuku na mayai

    pole sana ndugu yangu, naamini dunia imekusamee, kosa si kosa bali kosa ni kurudia kosa.
  3. J

    JamiiForums Tanzania natafuta rafiki, wa kusaidiana naye kiushauri

    awe wa kike asizidi miaka 22 pia awe over eighteen, kwani naamini kwa kushare naye mawazo nitajua nimwanamke wa aina gani anaweza kunifaa kuishi naye.:A S kiss:
  4. J

    JamiiForums Tanzania natafuta rafiki, mwa kusaidiana naya kiushauri

    awe wa kike asizidi miaka 22 pia awe over eighteen, kwani naamini kwaku share naye mawazo nita jua nimwanamke wa ainagani anaweza kunifaa kuishi naye.:A S kiss:
  5. J

    JamiiForums Tanzania Natamani Nape aje CHADEMA kwani ndio dawa ya Lowassa na Mwigulu

    uzuri wa chadema hatutaki mamluki na walopokaji kama nape
  6. J

    JamiiForums Tanzania Ajira Mwalimu Nyerere Memorial Academy

    kuwa open bwana, vigezo vya muombaji ni vip?
Back
Top Bottom