Ajira Mwalimu Nyerere Memorial Academy

Brother Kaka

Member
Jun 11, 2013
90
54
Jamani nimeona tangazo la nafasi za kazi Chuo cha kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere kupitia ----------------. Nafasi za assistant lecturers na tutorial assistant. Mara ya mwisho mwaka jana nafasi kama hz zilitangazwa na Tume ya ajira. Sasa hii imetolewa na chuo chenyewe. Anayejua mkanganyiko huu anisaidie maana kama nachanganywa mie. NAWASILISHA
 
Back
Top Bottom