Brother Kaka
Member
- Jun 11, 2013
- 90
- 54
Jamani nimeona tangazo la nafasi za kazi Chuo cha kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere kupitia ----------------. Nafasi za assistant lecturers na tutorial assistant. Mara ya mwisho mwaka jana nafasi kama hz zilitangazwa na Tume ya ajira. Sasa hii imetolewa na chuo chenyewe. Anayejua mkanganyiko huu anisaidie maana kama nachanganywa mie. NAWASILISHA