wajumbe mi niseme kwa kifupi tu kwanza, vijana tusome ,tuache uvivu na kutegemea urithi coz sio ishu..pili,kama kijana unaweza kuwa na roho nzito kiasi hicho, tunatengeneza kizazi cha aina gani nchi hii? TUSOME ILI TUONDOE UJINGA,VINGINEVYO HUKO NI KUJILAANISHA TU!