Recent content by JUMBE ABDALLAH

  1. J

    Vyuo vya laboratory technical

    Habari zenu wadau! Ninaomba mnifahamishe ni wapi vinapatikana vyuo vinafundisha laboratory technical kwa ngazi ya diploma hapa nchini na sifa za kujiunga, natumaini mtanisaidia mana kuna dogo nataka nimpeleke.
  2. J

    Waraka wa wazi kwa viongozi wa CHADEMA

    Chama kiache kwanza migogoro kwani machoni mwa watu kinaonekana akina jipya.
  3. J

    Mwenyekiti wangu CCM Jakaya Kikwete: Lowassa's buck stops with you!

    Aha Aha Aha, Jamaa Anafukuza Mwizi Kimya Kimya Ana Habari Na Kelele Za Watu Mpaka Lengo Litimie, Ananifuraisha Sana Huyu Muheshimiwa.
  4. J

    Dr. Slaa - marufuku kusafirisha malighafi nje ila products CHADEMA ikiingia Ikulu

    Kwa Nini Usubiri Mpaka Uingie Madarakani Dr! emu weka utaifa mbele wasilisha kunakohusika huo mpango mkakati wako utakao utumia sasa ili taifa lifaidike. nchi ni yetu sote na hiz changamoto ni zetu sote, weka utaifa mbele kuliko chama.(pamoja tujenge tanzania yetu), mungu ibariki Tanzania.
  5. J

    Adui yangu ni mtu yoyote anayeiunga mkono CCM

    Mi Napita Tu Ngoja Nikaangalie Kadi Yangu Ya Kupigia Kura Kama Ipo Salama Mahali Nilipo Iweka Mana Siku Zinaenda Na Sioni Taratibu Za Uboreshaji Wa Daftar La Wapiga Kura Ukifanyika.
  6. J

    Dr. Slaa: Tunahitaji mwaka mmoja tu kuigeuza Tanzania kuwa nchi ya viwanda

    Kweli Nimeamini Mwanasiasa Muamini Anapotaja Jina Lake Tu Vingine Vyote Anavyozungumza Ni Uongo, Hivi Inawezekana Kweli Mtu Akatumia Mwaka Mmoja Kujenga Uchumi Unaotegemea Viwanda! Tena Viwanda Mama Kama Vya Magari, Ndege Na Vipuli Vya Aina Mbali Mbali, Dr Nakuomba Tafakari Kauli Yako Mara...
  7. J

    Bunge la bongo flava 2015

    Baada Ya Muheshimiwa SUGU kuonyesha kwamba wanabongofleva wanaweza siasa kuna baadhi ya wasanii nao wanataka kuingia ulingoni kugombea ubunge kwenye uchaguzi mkuu hapo mwakani, wasanii hao ni MKOLONI jimbo la Tanga Mjini Kupitia CHADEMA, AFANDE SELE morogoro mjini CHADEMA na JUMA NATURE temeke...
  8. J

    Chadema kususia kuangalia TBC ni sawa na kususia kuona mwanga wa jua...

    Toka aondoke TIDO Tbc Wamekosa Ubunifu Kabisa Wapo Wapo Tu Ili Mradi Siku Zinaenda. Kazi Wanayo Mana Vituo Vingine Viko Poa.
  9. J

    Hivi wanaume hawa bado wapo miaka hii?

    0684810703, Nitafute Nikugegede Kwanza Ili Ukamfunze Inaonekana Ajui Kugegeda Then Utapata Jibu La Ujiulizacho.
  10. J

    Kwa wauzaji na wanunuaji vifaa vya simu.

    MMAMBE PHONE ACCESSORIES AND REPAIRkama wewe ni muuzaji au mnunuzi wa jumla na rejareja wa vifaa vya simu naomba tuwasiliane,0684810703
  11. J

    Wauzaji vifaa vya simu tuwasiliane.

    MMAMBE PHONE ACCESSORIES AND REPAIR, kwa Yeyote Anaejiusisha Na Ununuaji Na Usambazaji Wa Vifaa Vya Simu Naomba Tuwasiliane, 0684810703.
  12. J

    Mbunge wa dodoma mjini vip?

    Napafahamu kaka ila si mbunge wala serikali ya mkoa wote wapo kimya yeye MALOLE(mbunge) anasubiri muda wa uchaguzi akawape pombe na doti za kanga ili wamchugue, namkumbuka wakat akitaka kura alivyokuwa anatembelea vijiweni kwa kuustarabu kuzungumza na vijana juu ya dodoma mpya ila leo anatuona...
  13. J

    Mbunge wa dodoma mjini vip?

    Japokuwa Umepata Bahati Jimbo Lako Halina Changamoto Nyingi Kama Lile La Mzee Wa Kusinzia Pale Mjengoni, Kwani Miundombinu Ya Barabara Na Maji Pamoja Na Huduma Za Kijamii Kama Hospital Na Shule Zote Zinajengwa Na Kukurabatiwa Na Serikali Pasipo Na Msukumo Wako, Hii Imekufanya Ukae Kimya Kama...
  14. J

    Kwa mfanyabiashara wa vifaa vya simu.

    Kama Unajiusisha Na Biashara Tajwa Hapo Juu Nipigie 0765111010 ili nikuonyeshe soko lilipo sio kukaa tu na bidhaa hapo kariokoo, tukiaminiana tunaweza form uhusiano wa kibiashara, ila uwe unauza kwa bei ya jumla.
  15. J

    Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    NINI HATIMA YA KIUNGO WETU KIPENZI JUAN MATA! MANA NAONA KAMA MFUMO UNAMUWEKA KANDO, KUNA TETESI PIA CHELSEA WANAMALIZIA DILI LA KUMSAJILI FREDY GUALIN KUTOKA INTER. NADHAN MUDA WA ESSIEN KUONDOKA UMEFIKA PAMOJA NA BA,OR=#0000ff] [/COLOR] The Chelsea players celebrate after the win [/CENTER]
Back
Top Bottom