Hii ni sawa na kusema kwahiyo Mungu aliumba walevi,wezi,mashoga,makahaba,wavuta bangi.......skia nikueleweshe kidogo Mungu aliumba vitu safi lakini watu huja kujialibu wenyewe kwa mitazamo yao na vishawishi vya shetani kwahiyo huwezi ona mwizi ukasema tumuache tu eti kwa sababu kaumbwa na Mungu...
Hapo ndiyo mnapokosea.
Kusema eti ubaya unatoka kwa Mungu.
Ndugu yangu Mungu siku zote anatuwazia Mema lakini kwa sababu shetani na majini ambao wote kwa ujumla walimuasi Mungu ndiyo vyanzo vya matatizo kwa watu lakini kwa sababu Mungu yupo ndiyo anatusaidia.
Kama ni kweli hujawahi enda kwa...
Eti majini viumbe wa Mungu..mbona yakiwakaba hamuendi kwa Mungu kumwambia kuwa viumbe wake wanafanya vurugu ila mnakimbilia kwa waganga kila kukicha ma huku idadi yenu inapungua kwa kuuliwa na majini.
Sisi hatutokani na papa mzee......Sisi tunamfata YESU KRISTO WA NAZARETH ambaye alikufa na kufufuka na ipo siku moja atarudi na kila jicho litamuona na kila Ulimi utakiri Ya kuwa YESU NI BWANA.
Upo sahihi ndugu.......unakuta mtu anakwambia eti inamaana wewe haujui kuwa Jews sio wakristo sasa unatwambia sisi wakati Biblia inajieleza kila kitu.
NDiyo maana hawawezi kuelewa hata Yesu mara ya pili atakuja kufanya nini?
Wao wamekalia matusi tu na hapo ndiyo kipimo kidogo cha maadili ya dini...
Upo sahihi sana....Unajua kuna maarifa fulani mtu ujipatia akisoma BIBLIA.....Mfano Hesabu hii ya YESU NI MUNGU nakwambia Bila msaada wa Mungu huwezi ambua kitu.
Aina noma mzee kuna mwanangu jina nae juma mpemba nilipig nae pande za IFM pale yupo TRA biaramlo bukoba now.angecheka sana kuona kijana wake majanga yameniandama.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.