October man
JF-Expert Member
- Nov 23, 2017
- 3,635
- 4,997
nimekuelewa
sasa tumshauri mleta Mada yeye anataka achote nyingine tena baada ya 5M kuliwa
ukihesabu zote alizokusanya na kucheza huu mchezo kaliwa na ana akili ya kupata nyingine lkn hajui kutunza anazirudisha zote huko, mrija ukikata ndio atajua pombe sio chai
hiyo michezo nimecheza sana na sikupata mwisho mzuri, kina Ontario, kina D9, kina DLND, Forever na sipendi wenzangu waingie kwani mumu humu walitukanya tukawatukana, sasa Donaldo alipoondoka Kampala kurudi Uganda viongozi wetu tayari walikuwa na ma-Harrier, BMW 3. kwa hiiyo Apex au scum walio juu ndio wanatajirika na huwezi washtaki lkn wataishi km kuku watatapanya na hatafaidi pesa za wanyonge wa chini
Advice: From today learn to differentiate between Online Business and Networking Business...most Tanzanians fail here.
And claim there is a lot of wealth Online than any other area in current world.
Thanks me leter.