Recent content by Jumax

  1. Jumax

    Kushuka kwa thamani ya Shilingi: Serikali kupitia BoT yatoa ufafanuzi, yaitupia lawama Bloomberg

    Yaani hapo ni kwamba jana Nov 02 bei ya Usd ilikuwa ni sawa na sh 2245 lakini hadi leo Nov 03 saa 21.54 pm Bei ya 1usd kwa shilingi ya kitanzania imekuwa ni 2319. Hapa kwa wale wazee wa PIPS watakuwa wameshaelewa hili ongezeko ni la kiasi gani [emoji30][emoji24]
  2. Jumax

    Kushuka kwa thamani ya Shilingi: Serikali kupitia BoT yatoa ufafanuzi, yaitupia lawama Bloomberg

    Waache BoT waendelee kuongopa na kubishana na ukweli ulio wazi. Hii ni chati ikionyesha mabadiliko ya rate jana
  3. Jumax

    Biashara ya kubeti

    Habari wakuu, Yapata muda mrefu sasa tangu hii (sijui niite biashara au kamari) ya kubeti iingie nchini na kwa mtazamo wangu naona kwamba imepata na kuendelea kupata wafuasi wengi sana hasa kwa kipindi cha hivi karibuni ikiwa ni watoto, vijana, watu wazima, mabibi na hata mababu kuvutiwa na...
  4. Jumax

    Ukweli kuhusu lupiah na hela za zamani

    Mkuu LUPIAH ndio nini?
  5. Jumax

    Pesa sio ishu, timiza kigezo hiki umuoe binti wa Mfalme Mswati

    Mkuu Evelyn Salt umefikiria nini maana nimechekeka mpaka kamac zimenitoka
  6. Jumax

    Andika jina lako kwa kijapani

    Mkuu unaonekana ulipokuwa shule ya msingi ulikuwa unawahi sana shuleni! Nakukubali sana Mkuu.
  7. Jumax

    Machafuko Nchini Msumbiji { Mauaji }

    Habari za Muda wana JF, Hali ya sintofahamu imetaharuki baina ya raia katika wilaya ya Msimbwa (Mocimboa da praia) mkoani Cabo delgado Nchini Msumbiji kutokana na Mashambulizi yanayoendelea baina ya Vyombo vya ulinzi dhidi ya Kundi la watu wasemekanao wana itikadi za kiislamu yaani Al shabaab...
  8. Jumax

    Ukweli ni kwamba pamoja na nia nzuri ya Rais Magufuli, sasa hivi Tanzania ni kama uwanja wa fujo

    Busara, Hekima, Utu, Uungwana, Ubinadamu na Huruma ni Miongoni mwa sifa muhimu sana ambazo Kiongozi bora yampasa awe nazo. Binafsi sijaona yoyote hapo kwa huyu kiongozi wetu.
  9. Jumax

    Tetesi: Inasemekana Nape Nnauye kavuliwa Uanachama wa Chama cha Mapinduzi..

    ALBADIR ina madhara makubwa sana zaidi ya tudhaniavyo
  10. Jumax

    Anayejua Rais Magufuli anatupeleka wapi atuambie, naona kama tumepotea

    Nashangaa sana kuona baadhi ya watu(watanzania) wenye MAWAZO MGANDO na UJINGA uliopita kiwango wakiendelea kushabikia mambo anayofanya the so called president katika nchi yetu, kwa hakika ameifanya tanzania kuwa si sehemu salama kiuchumi, kisiasa na wala kimaendeleo kwa ujumla ukizingatia ni...
  11. Jumax

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Habari zenu wakuu, Samahani ningependa kufahamu et mtu unaweza kuendesha maisha kwa kutegemea kubet ? Thanks in advance
  12. Jumax

    Hivi kwanini wanawake wengi siku hizi hawaolewi? Wengi hupishana na wanaume zao

    Kuna ukweli ndani yake ila mkuu ungejaribu hata kumpa Credits mwandishi wa bandiko hilo maana sii ustaarabu kucopy na kupaste ilihali mwenzio ametumia muda na fikra kuandika
  13. Jumax

    Mhe. Spika, wewe ni kiongozi mkubwa. Tafadhali epuka mambo haya

    Mkuu umeongea maneno ya busara sana na mungu akubariki kwa ushauri huu mzuri pia nina imani mh spika atafanyia kazi pindi atakapopata ujumbe huu kwa ajili ya maslahi ya taifa letu pendwa.
  14. Jumax

    Tanzania inazidi kuwa Jangwa, je hii ni laana kwa Matendo tuyatendayo?

    Mabadiliko ya Tabia ya Nchi ( climate change ), na hilo si janga la Tanzania pekee kwa kipindi cha karibuni tumekuwa tukiona maeneo mengi duniani yakiathiriwa na tatizo hili haswa kutokana na Shughuli za binadamu
  15. Jumax

    Kitu gani ambacho hupendi mpenzi wako akuombe?

    1. Fedha 2. Pesa 3. Hela
Back
Top Bottom