figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,492
- 54,890
Waziri wa Mazingira January Makamba amepiga hizi picha na kusema
"Nimepiga picha hizi chache za mito toka angani, nikiwa safarini kutoka Dodoma kwenda Dar es salaam. Mito mingi imekauka, na kujaa udongo na mchanga kwa kiasi kikubwa kutokana na uharibifu mkubwa wa mazingira katika vyanzo vyake, na mabadiliko ya tabia nchi. Tuna kazi kubwa ya kufanya kuinusuru nchi yetu na tishio la jangwa".
Imenitisha sana. Kumbe hata Serikalini wanayaona haya ila wamekaa nayo moyoni.
Mungu tunusuru.
"Nimepiga picha hizi chache za mito toka angani, nikiwa safarini kutoka Dodoma kwenda Dar es salaam. Mito mingi imekauka, na kujaa udongo na mchanga kwa kiasi kikubwa kutokana na uharibifu mkubwa wa mazingira katika vyanzo vyake, na mabadiliko ya tabia nchi. Tuna kazi kubwa ya kufanya kuinusuru nchi yetu na tishio la jangwa".
Imenitisha sana. Kumbe hata Serikalini wanayaona haya ila wamekaa nayo moyoni.
Mungu tunusuru.