Ndugu yangu wwe mtu unauza mkaa kipomo hdi mia sita mtu anakuja na jero anakuomba ssa hyu nae umwambie mambo ya gesi si chai na mapera asubuhi ananunua wa jero jioni jero maisha bdo sna alafu tofautiaha dar ya 1999 na sasa mji umetanuka sna zamani mji unaanzia tandika kwenda mbele
Wwe hata hao mababu ztu walisalitiwa kwa aina yake zamani mabibi wanaenda visimani ndani ya ndoo zao wanaweka wali na wanawapelekea mabasha zao porini usaliti upo tu cha msingi ukiingia kwenye ndoa jiandae na maisha mapya ya subra na uvumilivu kma hutoweza basi jua utakuwa na watoto hta kumi na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.