kisugujira
JF-Expert Member
- Aug 13, 2012
- 774
- 200
Mkuu MziziMkavu,nashukuru kwa utabibu wako.Cha kukulipa sina ajuaye Mola.
Hujatuambia wewe kwanza ni Mwanamme au Mwanamke? mbona unatuchanganya? Nijuavyo mimi kuhusu ( Chango la tumbo ni ugonjwa wa wanawake) sasa wewe ni
Mwanamke? Kwa wanaume wanapata ugonjwa wa ngiri sio chango la tumbo. Hebu fuata ushauri wa mkuu
MziziMkavu hapo chini utafanikiwa.Ukiwa na ngiri inaweza kukupunguzia nguvu za kiume na kama unataka
Dawa za kuongeza Nguvu za kiume tembelea hapa https://www.jamiiforums.com/jf-doctor/196934-dawa-za-nguvu-za-kiume-kwa-anayetaka.html
mrejesho tafadhali kisugujira
ha ha ha ha ha ha we jamaa unavitukoacha kujibana bana jamba tatizo litakwisha
Dawa yake ni Albendazol/mebendazol. Kwa kuwa ajala dawa ya minyoo kwa muda mwingi anatakiwa ale zile zinaitwa Zentel, Zinauzwa 5000 na kuendeleaminyoo hiyo kula dawa ya minyoo
DuhNgiri au nguruwe!!

Sio kweli mkuu iyo ni minyooNashukuru Mkuu ntafanyia kazi hasa hili la maji ila kwa upande wa muda wa ula kwa kweli muda wangu upo fixed sana sbb kila siku saa sita kamili nakula lunch saa kumi na mbili kamili napata dinner na hunywa maji immediately baada ya kula labda hapa ndipo nakosea. Thanks
Hizo ni dalili za vidonda vya tumbo, kabla ya kuangaika kutibia chochote hebu kapime vidonda vya tumbo kwanzaWadau naomba msaada wenu, tumbo langu linaunguruma sana hadi nakosa amani, halafu nikienda haja sipati kitu na pia shemu ya chini ya tumbo na kiuno nahisi maumivu,na tumbo linakuwa kama limejaa gesi. ni nini tatizo?? na nini dawa yake? ahsanteni wandugu.