Recent content by Jumaaly

  1. Jumaaly

    JamiiForums Tanzania Baada ya Masaa 72, Halima Mdee (Mbunge), ashindwa kutoka Korokoroni

    Halima Mdee kuendelea kusota Rumande Mpaka siku ya Jumatatu Inavyosemekana Halima Mdee kuendelea kusota rumande mpaka siku ya Jumatatu. Mbunge wa Jimbo la Kawe Jijini Dar es Salaam Halima Mdee alikamatwa na jeshi la polisi hivi karibuni, kwa kile kinachodaiwa na Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni...
  2. Jumaaly

    JamiiForums Tanzania Rais na mwenyekiti wa CCM taifa akutana na viongozi watatu wa CCM aliowateua

    Rais na Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi Dkt John Pombe Magufuli Leo amekutana na kufanya mazungumzo na Viongozi Watatu Wa CCM Aliowateuwa hivi karibuni
  3. Jumaaly

    JamiiForums Tanzania Rais Magufuli ateua Wakuu wa wilaya na Wakurugenzi wa Halmashauri kujaza nafasi wazi

    Taarifa kutoka ikulu ya uteuzi wa wakuu wa wilaya ya ubungo na Mtwara
  4. Jumaaly

    JamiiForums Tanzania Rais Magufuli Afanya Uteuzi Wa Wenyeviti 7 wa Bodi na Mwenyekiti wa Baraza la Uwezeshaji Wananchi

    Rais wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli, amefanya uteuzi wa Wenyeviti 7 wa Bodi za Taasisi za Serikali, na pia ameteua Mwenyekiti wa Baraza la Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi Tanzania na Mjumbe mmoja wa Baraza la Taifa la Biashara. Taarifa iliyotolewa leo tarehe 19 Desemba, 2016 na Katibu Mkuu...
  5. Jumaaly

    JamiiForums Tanzania Hosptali ya Palestina Sinza huduma mbovu kwa wagonjwa, Waziri wa Afya shitukiza muda huu ujionee.

    Ngazi zote mkuu umeshindwa kufuata mpaka unakimbilia kwa waziri hizi hospital ziko chini ya wilaya mzeee unataka waziri atembelee hospital za mitaaa. Acheni kumbebesha mizigo waziri bwana acheni apambane na madawa kwanza hili ongea na mkuu wako wa wilaya ama mtendaji wa kata yako atakusaidia
  6. Jumaaly

    JamiiForums Tanzania DC Hapi na kamati ya ulinzi na usalama wabaini magodauni na madanguro bubu Manzese

    Mkuu wa wilaya ya Kinononi na Mwenyekiti wa kamati ya Ulinzi na Usalama ya mkoa wa kiusalama wa Kinondoni Mh. Ally Hapi leo akiambatana na kamati ya Ulinzi na Usalama, maafisa afya na biashara wa manispaa wameendelea na operesheni ya kusaka stoo Na magodauni bubu yasiyozingatia sheria za nchi...
  7. Jumaaly

    JamiiForums Tanzania DC Hapi akamata shehena ya mifuko ya sukari zaidi ya 1095

    M/kiti Kamati ya Ulinzi na Usalama Mh Ally Salum Hapi kupitia Mkoa wa Kiusalama wa Kinondoni Wamekamata Shehena ya Sukari Mifuko zaidi ya elfu Moja na Tisini na Tano. Sukari hii ikiwemo sukari toka Nchini India na ile ya Ndani ya Nchi.
  8. Jumaaly

    JamiiForums Tanzania DC Ally Salum Hapi atembelea wananchi Bunju, Mbweni leo

    Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni jijini Dar es salaam Mh. Ally Hapi leo amewatembelea wananchi maeneo ya Bunju na Mbweni waliokuwa na kero mbalimbali. Katika eneo la Bunju Kilungule, baadhi ya wananchi nyumba zao zimezungukwa na maji kutokana na mvua zinazoendelea kunyesha. Mkuu wa Wilaya...
  9. Jumaaly

    JamiiForums Tanzania Waziri Ummy Mwalimu aitaka MSD Kutoa maelezo ucheleweshwaji vifaa thamani ya billion 2

    Ripoti iliyotolewa na Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) Profesa Musa Juma Assad imezichanganya Hospitali ya Taifa Muhimbili na Bohari ya Dawa (MSD), huku Waziri wa Afya, Ustawi wa Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu akihitaji maelezo ya kina kuhusu mkanganyiko huo...
  10. Jumaaly

    JamiiForums Tanzania DC wa Kinondoni Mh Ally Salum Hapi kukagua miradi ya maendeleo leo Muungano day

    Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni jijini Dar es salaam Mh. Ally Hapi jana tarehe 26/4/2015 alifanya ziara ya kukagua miradi mbalimbali ya maendeleo iliyoko manispaa ya Kinondoni. Katika ziara hiyo ambayo aliambatana na watendaji mbalimbali wa Halmashauri ya manispaa ya Kinondoni, Mh. Hapi alikagua na...
  11. Jumaaly

    JamiiForums Tanzania Ziara ya Mkuu wa Wilaya Kinondoni kukagua miradi ya maendeleo

    Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni jijini Dar es salaam Mh. Ally Hapi jana tarehe 26/4/2015 alifanya ziara ya kukagua miradi mbalimbali ya maendeleo iliyoko manispaa ya Kinondoni. Katika ziara hiyo ambayo aliambatana na watendaji mbalimbali wa Halmashauri ya manispaa ya Kinondoni, Mh. Hapi alikagua na...
  12. Jumaaly

    JamiiForums Tanzania Malumbano ya Hoja: Agizo la Rais vijana kuacha uzurulaji na kufanya kazi, je limewekewa mikakati?

    TAARIFA Leo usiku katika kipindi cha Malumbano ya Hoja kupitia kituo cha ITV, kijana mwenzetu Mwenyekiti wa Jukwaa Huru la Wazalendo comrade Ally Salum Hapi amealikwa miongoni mwa wageni wa meza kuu katika kujadili mada isemayo "AGIZO LA RAIS VIJANA KUACHA UZURULAJI NA KUFANYA KAZI, JE...
  13. Jumaaly

    JamiiForums Tanzania Waziri wa afya Ummy Mwalimu akagua utoaji huduma za afya katika majimbo ya Mtwara Vijijini

    Waziri wa Afya Mhe Ummy Mwalimu pamoja na Mganga Mkuu wa Serikali Prof. Mohammed Bakari wametembelea Hospitali ya Mji wa Masasi (Mkomaindo), Hospitali ya Rufaa Ndanda Mission na Kituo cha Afya cha Nanguruwe kilichopo Jimbo la Mtwara Vijijini. Katika ziara hiyo ya siku 2 Mhe Ummy alipata fursa...
  14. Jumaaly

    JamiiForums Tanzania Waziri wa Afya awataka Watumishi wa afya nchini kufuata maadili ya kazi na viapo vyao

    Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii,Jinsia, Wazee na Watoto mh. Ummy Mwalimu leo ameendelea na ziara yake mkoani Geita ambapo pamoja na mambo mengine ametembelea hospitali teule ya rufaa ya Mkoa wa Geita na kutazama wagonjwa pamoja na hali ya utoaji huduma katika hospitali hiyo. Aidha Mh. Ummy...
  15. Jumaaly

    JamiiForums Tanzania Waziri wa Afya ummy Mwalimu azuru Geita kukagua hali ya kipindupindu

    WAZIRI UMMY MWALIMU AZURU GEITA KUKAGUA HALI YA KIPINDUPINDU Waziri wa Afya, Maendeleo ya jamii, jinsia, wazee na watoto Mh. Ummy Mwalimu ametembelea kambi ya wagonjwa wa Kipindupindu ya Nyankumbu, Wilayani Geita leo tar 4 Jan 2015. Pamoja na kukagua kambi hiyo, mh Ummy Mwalimu amezitaka...
Back
Top Bottom