DC Hapi akamata shehena ya mifuko ya sukari zaidi ya 1095

DC Hapi akamata shehena ya mifuko ya sukari zaidi ya 1095

Jumaaly

Member
Joined
Sep 5, 2015
Posts
74
Reaction score
21
M/kiti Kamati ya Ulinzi na Usalama Mh Ally Salum Hapi kupitia Mkoa wa Kiusalama wa Kinondoni Wamekamata Shehena ya Sukari Mifuko zaidi ya elfu Moja na Tisini na Tano.

Sukari hii ikiwemo sukari toka Nchini India na ile ya Ndani ya Nchi.
150b494550880c9e069cd4665ff59d7d.jpg


007417c50bd3fc5af9ecedb50871d93d.jpg
 
Mwisho wa siku watasema iliingia kihalali kwanini wasiwe wanafanya uchunguzi kabla ya kusema wamekamata
 
Aaaa ushakuwa mchezo ndo basi tena! jana wamenichanganya hadi sasa sijaelewa eti wamekamata kontena la sukari bandarini wanasema isambazwe haraka, zakaria anasema niyawateja wake toka Burundi walikuwa wanasubiri vibari TRA, na afisa wa TRA anathibitisha hilo, sasa najiuliza kwani hapo wamekamata sukari iliyofichwa kweli?
 
Aaaa ushakuwa mchezo ndo basi tena! jana wamenichanganya hadi sasa sijaelewa eti wamekamata kontena la sukari bandarini wanasema isambazwe haraka, zakaria anasema niyawateja wake toka Burundi walikuwa wanasubiri vibari TRA, na afisa wa TRA anathibitisha hilo, sasa najiuliza kwani hapo wamekamata sukari iliyofichwa kweli?
Maajabu sasa haya.

Hivi unakamata vipi sukari ikiwa bandarini afu unadai eti "sukari imefichwa", sukari inafichwa vipi bandarini?
 
Maajabu sasa haya.

Hivi unakamata vipi sukari ikiwa bandarini afu unadai eti "sukari imefichwa", sukari inafichwa vipi bandarini?
Sasa sita shangaa sukari iki kamatiwa melini (out anchor) sijui sasa wana taka iingie na nyungo?
 
M/kiti Kamati ya Ulinzi na Usalama Mh Ally Salum Hapi kupitia Mkoa wa Kiusalama wa Kinondoni Wamekamata Shehena ya Sukari Mifuko zaidi ya elfu Moja na Tisini na Tano.
Sukari hii ikiwemo sukari tuka Nchini India na ile ya Ndani ya Nchi.
150b494550880c9e069cd4665ff59d7d.jpg


007417c50bd3fc5af9ecedb50871d93d.jpg
Endeleeni na ulaghai tu. Kama mlivyoanza. (CT-SCAN, MRI)
 
Aaaa ushakuwa mchezo ndo basi tena! jana wamenichanganya hadi sasa sijaelewa eti wamekamata kontena la sukari bandarini wanasema isambazwe haraka, zakaria anasema niyawateja wake toka Burundi walikuwa wanasubiri vibari TRA, na afisa wa TRA anathibitisha hilo, sasa najiuliza kwani hapo wamekamata sukari iliyofichwa kweli?
Italazimishwa sukari ya warundi iuzwe kwa nguvu hata wasipokunywa chai shauri yao
 
Kama kweli wamekamata basi wagawe bure kwa wananchi....
 
Suala si kuingia kihalali, suala inafichwa...
Mkuu jana kuna sehemu walienda wakapewa ushahidi wote wa ukaguzi kutoka Board ya Sukari ikabidi wakae kimya tu.....ndo haya tunayozungumza wafanye uchunguzi........japo kuna wengine wanaficha kweli
 
Sijui lini hapa katinga hospitali na mavazi ya mgambo .hawajamaa full comedian yani
Alikuwa na kofia yake ile kama wale wapanda farasi wa Texas.

Unaacha kulala na mkeo unabaki kuzurura usiku.
 
Back
Top Bottom