ngoshaboy
JF-Expert Member
- Apr 15, 2013
- 231
- 193
Wanajamvi,
Kwa haya ninayoyaona ni dhahiri serikali inayo kazi kubwa ya kuboresha huduma, ni masaa manne sasa tangu nikabiziwe kadi ya kumwona Dr lakini sijabahatika kwani Dr mwenyewe hakai muda mrefu chumbani anatoka kila wakati.
Wanajamvi taifa bado linahitaji viongozi wakali zaidi kwa haya ninayoyaona hapa haki ya Mungu wagonjwa wanateseka sana.
Kwa haya ninayoyaona ni dhahiri serikali inayo kazi kubwa ya kuboresha huduma, ni masaa manne sasa tangu nikabiziwe kadi ya kumwona Dr lakini sijabahatika kwani Dr mwenyewe hakai muda mrefu chumbani anatoka kila wakati.
Wanajamvi taifa bado linahitaji viongozi wakali zaidi kwa haya ninayoyaona hapa haki ya Mungu wagonjwa wanateseka sana.