Kuna Hawa jamaa Wanajiita World Pesa wanachukua namba kwenye group za WhatsApp then wanahitaji ujiunge nao kwa shilingi 13,000 baada ya kujiunga nao wanakutumia Link ambayo utakuwa kazi yako ni kuview videos ili uingize fedha!
Najiuliza kirahis hivi upate fedha mbona kama vile ni utapeli wa...
Nasumbuliwa na tatizo la tumbo kujaa gesi na kuvuruga.
Yaani ni kama nimevimbiwa, nabeuwa harufu, cha kushangaza hamu ya kula sina, ila nikitia chakula kidogo tumbo linajaa gesi na nikienda chooni naishia kuharisha.
Nasumbuliwa na tatizo la tumbo kujaa gesi na kuvuruga yaani ni kama nimevimbewa na beuwa harufu, chakushangaza hamu ya kula Sina Ila nikitia Chakula kidogo tumbo linajaa gesi na nikienda chooni naishia kuharisha..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.