jumaaharuna
Member
- Jul 5, 2022
- 28
- 22
Habari, naomba mnisaidie njia Bora ya kupokea pesa online nakui-transfer katika mitandao ya simu kama tigo, mpesa au Airtel...z
eleza kinagaubaga 🐒Habari, naomba mnisaidie njia Bora ya kupokea pesa online nakui-transfer katika mitandao ya simu kama tigo, mpesa au Airtel...z
Kumbe ana EvilSpirit ?Ile biashara yako ya bangi naona unataka kuipanua