Mkuu mimi sitaki samaki wa biashara nataka nifuge samaki kwa ajili ya chakula changu tu mwenyewe na sina eneo kubwa mana ni kwangu eneo ambalo naweza kuweka bwawa ni 4×5 au 5×5 je linawezekana hilo
Jamani waungwana wekendi nimeingia tabora, mwenye kuijua anielekeze wapi nikale bata na nitapata viburudisho au mambo yetu yaleeee mana nasikia kuna vichotara vyakutosha..nielekezeni jamani
Jamani mi huwa naenda bandarini mara kwa mara Makinikia yapo na yanalindwa balaa askari wanapokezana zamu so tuongee mengine kwa kuwepo bandarini bado yapo
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.