Huyuu bwana ni katibu mwenezi wa chama, kila afanyacho anafikiria zaidi kipi kitakipa chama chake credit na anasahau kabisa kuwa hata katiba ya nchi inasema kila mtanzania ana haki ya kupata habari. Karne ya leo kuleta hoja kama hii bingeni ni aibu kwa nchi
Kuna kipindi lazima tuongee ukweli, kila ajali tumewalaumu madereva na tumeacha hata kuwataka wale waliopewa wajibu wa kutumia kodi zetu kutunza barabara watueleze kwanini shimo kama lile linaachwa kwa miaka miwili bila kufanyiwa kazi. Nalikumbuka sana lile eneo nikiwa nimepita kama mwaka na...
wewe unatoka mji gani wa Tanzania ambao utofauti wake na morogoro ni mkubwa kisai cha kukufanya uwe na nguvu ya kuiona morogoro ni ya ajabu? Nadhani ulilinganisha moro na Jo'berg then ukaandika meseji yako.
Kama Kenya na Rwanda wakiwa na sera nzuri za kutengeneza kazi kwaajili ya wananchi wao wasingepoteza muda mwingi kufikiria nchi gani itatoa ajira za wananchi wao. Ni muda muafaka kwa nchi zetu kufikiri zaidi jinsi gani tunaweza badili mfumo wetu wa elimu na kuzalisha vijana wasiosubiri...
Morogoro panabadilika kwa kasi sasa. Barabara za lami mitaani zinaongezeka. Najua baada ya miaka mitano ijayo mji mzima utakuwa na network nzuri ya barabara. Kinachotakiwa sasa ni kuboresha na kupanua mfumo wa maji ili watu wa Kihonda kwa Chambo, Kilimanjaro, Mazimbu road nao wapate maji. Najua...
Hata kama kila mtu yupo huru kuwaza ni lazima kuangalia wazo gani ulitoe mbele ya watu na lipi liishie kichwani mwako tu. Unapoamua kulitoa wazo lolote kwa watu lazima pia kujua ni lugha ipi uitumie ili kulieleza wazo lako. Sasa usichokielewa kuhusu Tanganyika ni nini, yaani tu mikoa mingapi...
Hii ni hatari. Hivi naibu waziri hajui kuwa tunajadili rasimu? Katika hii rasimu iliyoandaliwa na tume ya Mh. Warioba kuna sehemu au hata msitari mmoja unaongelea ushoga? Hilo kalitoa wapi? Nadhani hapa Mwigulu anatupotezea muda na kutuhamisha kwenye mada. Huyu anakosa uzalendo na kulifanya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.