Mimi Nadhani TRA wapo sahihi kusema Kuwa benki ndio wanaotakiwa kulipa kiasi hicho cha kodi ya ongezeko la thamani. Ikumbukwe kwamba pesa iliyopo benki ni tofauti Kabisa na bidhaa iliyopo dukani, nasema hivyo kwa sababu bidhaa iliyopo dukani ni Mali ya mwenye duka hadi pale ajapo mnunuzi wa...
Mimi nina Airtel Home WIFI Router, hii ni router inayotumia line ya Airtel pekee. Mahali ninapoishi hivi sasa hakuna mtandao wa 3G kwa Airtel na hivyo kufanya Router yangu kukosa msaada niliokuwa nauhitaji.
Je naweza nikaibadili ili niweze kutumia line yoyote!?
Hivi ni vitu viwili visivyoshahabiana kabisa, VAT ni tozo/kodi ya ya ongezeko la thamani ambayo hulipwa na kila mwananchi anunuaye bidhaa. Lakini PAYE ni tozo la mapato ambayo hulipwa tu na mtu mwenye kipato.
Kwa hiyo sijachanganya hivi vitu, nakualika hata utembelee tovuti ya tra...
PAYE ya (13/12)% ni uongo mtupu.
Kombani kasema kuwaserikali hukata kodi (PAYE) ya 13% ambayo kwa bajeti hii itashushwa kwa 1% na kuwa 12%.
Taarifa hizi sio sahihi kwani serikali hukata kodi (paye) ya 18.97% kwa tz bara na 20.025% kwa Zanzibar.
Fanya ukokotozi na utaona usahihi wa maneno yangu...
Nianze kwa kuwauliza wanajanvi, ni asilimia ngapi ya pato lako halisi hukatwa kama kodi kupitia mfumo wa lipa kwa kadri ya upokeavyo (PAYE)?
Waziri Kombani kaueleza umma bungeni hivi punde kuwa Serikali ilisikiliza maombi ya vyama vya wafanyakazi vya kupunguza tozo la kodi ya mapato ambalo...
Muungano kwa maana ya Muungano si mzigo.
Ukiutazama kwa mapana yake utagundua kuwa viongozi katika huu muungano ndio mizigo, ubinafsi wa viongozi ndio uliosababisha huu muungano ufike hapa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.