Recent content by julmiranda

  1. julmiranda

    Maswali tata kuhusu utekwaji na upatikanaji wa Mohamed Dewji MO

    Hahahhaahah eti futuhi land
  2. julmiranda

    Maswali tata kuhusu utekwaji na upatikanaji wa Mohamed Dewji MO

    Watekaji vilaza kweli hivi waliendeleaje kutumia gari ambalo tayari picha zake zishasambazwa alafu wao wakabadilisha namba tu wakatembea nalo kwa kujiamini tena mpaka maeneo ya karibu na ikulu..hawa watekaj wanajiamini jamani. Mo baad ya kuachiwa alipata wapi simu ya kupiga kwao muda ule...
  3. julmiranda

    Musoma: Miongoni mwa miji mibovu Tanzania

    Tuna definitions tofauti za rahaaa..raha zako si zangu.
  4. julmiranda

    Musoma: Miongoni mwa miji mibovu Tanzania

    Ndugu musoma ulinunua vyakula kabisaa..musoma maisha yapo chini sana kwa upande wa nyumba na vyakula mzunguko wa pesa tu ndo hamna
  5. julmiranda

    Halotel mnakera, internet yenu imepungua kasi sana

    Alafu hao halotel ukienda miji mikubwa zero kabisa yani ukiwa mwanza ata picha hupost sijui wamekuaje nikiwa Mwanza,Arusha au Dar lazima nihamie airtel halotel acheni hizo
  6. julmiranda

    Zitto Kabwe: Usiku wa kuamkia leo ulikuwa mgumu zaidi kwenye maisha yangu ya kisiasa

    Ahahhah et fursa yan zitto ni mzee wa fursaaaa
  7. julmiranda

    Hata kama siyo wao, watu wataamini ni wao tu!!

    Af pro aliyetumwa pia hajaribu jaraibu hivyo angetia ata bomu..yote tumuombee lissu apone tu
  8. julmiranda

    Hata kama siyo wao, watu wataamini ni wao tu!!

    Toa mawazo bila kashafa bas mkuu mtoto hata hajui kama lissu yupo hoi leo
  9. julmiranda

    Hata kama siyo wao, watu wataamini ni wao tu!!

    Binadamu tumekua wepesi wa kuhukumu na kuongea lakini kwa mawazo yangu ya kawaida kabisa siamini serikali inaweza fanya tukio kama hili hasa kipindi hiki ambacho lisu ameoneakana ni vugi vugu,inawezekana ni kakundi tu ka watu kameona kakifanya haya basi lawama zitaiangukia serikali na kweli kwa...
  10. julmiranda

    Nahisi Diamond na Kiba wametuchezea mind game

    Hata mi niliwaza hivyo hivyo wametuchezea tu hawa
  11. julmiranda

    Kwa hali niliyoiona sitashawishika tena kupima UKIMWI

    Hawa wataalamu wa afya kwel sijui wapoje mwenyewe nilienda clinic kufika yule mama jaman katoa kipimo anapima utasena malaria af anaweka mbele yangu nione kinavyoenda ye anaendelea na story niliwaza apa hivi presha ikipanda si ninazikwa kabisa aliniboa sana yule mama
  12. julmiranda

    Special Thread kwa wana JF wote waliosoma Benjamin William mkapa high school BWMHS

    Ahahahha natamani nikujue jina lako unaanzaje kumsahau masunga jaman na asha boko
Back
Top Bottom