Siyo wanawake wote wanaotukana, hata wanaume. Mimi nilitukanwa sana baada ya kutofautiana ktk tabia ambayo ilikuwa sugu. Mwenzangu alishidwa kuiacha na alipopata ultimatum. Nilitukanwa mpaka na sura yangu, rangi yangu na elimu yangu, ndugu zangu na tabia yangu vyote vilitukanwa. Ni juu yako...
Kuishi kwingi, kusikia mengi. Mimi na umri wangu wa miaka 55 sijapata kusikia. Sina ushauri ila inatisha[emoji33][emoji125]♀️[emoji125]♀️[emoji125]♀️[emoji125]♀️
Huyo Malasusa anasema nini kuhusu Wamisionari na pombe? Angejua jinsi pombe inavyowapa wazungu kuumwa kichwa angekuja na kauli nyingine. Na huyo Mshaharakesho anasifiwa huko BKB kumbe in hambazo. Pombe uteketeza familia za watu halafu anaongea kama vile anaongelea togwa la ndizi (Olamba)? Shame...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.