Sasa mwaka huu wamenipunguza mimi na isitoshe mwaka jana waliniteua kusimamia na baada ya kuripoti kituon nikakutana na barua ya kusimamishwa kusimamia mtihani.Hawa hawatutakii mema zaidi wanajinufaisha wenyewe kupitia migongo ya watu.It is high time to nock down these irresponsible leaders and...
Wala siyo laki 3.Wengi wetu jana tumelipwa sh 195000.Inafaa kuchukua hatua kumaliza hili tatizo.Hawako makini na maisha ya Walimu na hapa ndiyo mahali pekee pa kutupozea machungu wanatuchezea!!!!!!
Nimesikitishwa sana na tabia ya viongozi wa Idara ya elimu idara ya sekondari ya kupunguza baadhi ya wasimamizi wa mitihani kwa kisingizio cha mitihani kupungua.Halmashauri nyingine hakuna mambo kama haya na once mtu ameteuliwa kusimamia mtihani basi ni hadi mitihani yote ikamilike sasa...
Baba dhaifu ukimwambia matatizo yako hatekelez unamfanyaje?Unaacha upate nguvu ujitegemee na uchukue majukumu ya kulea familia.Ndivyo ilivyo kwa nchi yetu.
Kuvunja huu Muungano ni sawa na wajukuu kuvunja ndoa ya babu na bibi yao.Kuuchokonoa ni sawa na watoto kuwaambia wazaz wao mkafunge ndoa vizuri achen kuishi kihorera.Kama tuna serikal imalize tatizo hili sisi raia halituhusu ingawa linatuumiza.
Pole kwa usumbufu uliokupata Mzee Mohamed.Katika Dini Njia bora ni kusamehe ila ktk siasa ni kusema ukwel.Usichanganye Dini na Siasa na muhimu zaidi tambueni adui yenu hasa ni nani na ni vema sana uache kuchochea chuki miongon mwa jamii ya Wanadamu maana hakika hukumu iko mbele yako.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.