Sidhani kama una haki kwa babu yako, wanasheria watatujibu hill, lakini kama ulishagundua babu yako anapenda sifa c utumikie kafiri upate kuendesha mradi wako? namaanisha msaidie kazi na msifie!
mbona mdada mwenyewe ni wa kawaida uzuri wake upo wapi hadi tuujadili? huyu sisemi ni mbaya ila ni wa kawaida na kama ana tabia ya kuorodhesha shida kwa wanaume pengine ndio maana wanamkacha!
Unamchukulia kirahisi sana Makongoro but Lowassa anamuogopa sana kuliko watia nia wote! kuhama chama si sababu ya msingi. Taifa hili ili liwe salama usalama wa taifa ni mhimu sana, ukitazama kwa makini baadhi ya watia nia walikuwa usalama wa taifa mfano Pinda, Membe, Makongoro n.k unapofanya...
Ukifikiria kwa kina kati ya watia nia waliotangulia, Mako, hana harufu ya ufisadi kabisa wala hajatumia jina la baba yake kujinufaisha yeye na familia yake! ameahidi kwenda kupambana na rushwa, hana mtandao atakaoulinda baadae akiwa madarakani. Atarejesha heshima ya nchi (nadhani hapa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.