Ndoa na iheshimiwe na watu wote

Ndoa na iheshimiwe na watu wote

Sio mimi mkuu.Ukisoma kwa makini uzi unaweza kujua sababu.

Limeniuma sana swala la watu kushabikia "Mama mdogo wa taifa" na bahati mbaya hakuna mwenye uhakika wa taarifa hizi.Mnafikiri mama wa watu mwenye ndoa anajisikiaje?Yule ni kama mama yetu na tunamkosea sana heshima kwa kushabikia uvumi.

Na kama nikivyosema katika uzi, hata kama hizo taarifa ni za kweli, sio sahihi kukaa kuzizungumzia hadharani.
sasa ninekuelewa mkuu dah! ...labda watu wamechukizwa na maamuzi ya ghafla kiasi kile
 
Wanandoa mtulie kwenye ndoa zenu na malazi yawe safi, Ndoa na iheshimiwe na watu wote, mtu unajua kabisa una ndoa yako lakini bado unahangaika.
 
Wenye Ndoa wengi wao ndio chanzo cha michepuko maana isingekuwa wao kusingekuwepo na michepuko.
 
Wenye Ndoa wengi wao ndio chanzo cha michepuko maana isingekuwa wao kusingekuwepo na michepuko.
Kweli mkuu, wanandoa ndio wahusika wakuu katika swala zima la kulinda ndoa zao.Sisi wengine ni wawezeshaji tuu.
 
Back
Top Bottom