Pole dada mi nina mimba miez 6 nina tatizo hilo pia,kondo kutangulia kunasababishwa na vitu vingi baadhi ni kama uliwahi kuzaa kwa operation,na pia abortion,nilishauriwa kutokufanya kazi ngumu,kutosafiri umbali mrefu,kutofanya mapenz,kutoingiza kitu chochote kile ukeni.madhara yake ni kwenye...