Ki ukweli ukiwa kwenye uchumba inabidi ujipendekeze kwa mama mkwe na upendo unakuwepo haswa. Nadhani huyo hajawa tayari kuolewa. Yupo kimaslahi zaidi. Muoe aliyekusaidia.
Kinga ni Yesu tu. We ukiamka asubuhi jitakase kwa damu ya Yesu then takasa siku hiyo na jiwekee ulinzi wa damu ys Yesu ukikabidhi chombo unachosafiria na waendeshaji wa chombo hicho mikononi mwa Mungu maana yeye ndiye muweza wa yote.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.