Zina masharti. Hakuna dawa ya kichawi isiyo na masharti.
ha ha ha likud hebu change avatar bana atleast uweke picha ya tunguli...
DEMONS dont need money cause they are paid in terms of blood. But sio kama watu wanavyo danganyana. Si kweli kwamba, majini hunywa damu za watu. Unajua kwanini ukienda kwa mganga kutafuta dawa ya utajiri unaambiwa utoe damu ya mtu unaye mpenda?
af nahitaji dawa ya mapenzi....na dawa ya kutokukamatwa nataka kuwa pundaMtundu wewe!!!
Tunguri ndo litamuonesha "man at work" ha ha haTeh Teh hakika picha ya tunguri ita faa zaidi.
Nenda kwenye chumba anacho lala mama yako mzazi. Chukua nguo yake ya ndani,uniletee nikutengenezee hiyo dawa. Au kama utashindwa,mvizie mama yako akiwa anajisaidia haja ndogo sehemu ambayo ni nje ya choo. nenda hadi pale alipokojolea, chota huo mchanga,uweke kwenye kitambaa cheupe, uniletee nikutengenezee hiyo dawa. Hakikisha unauleta mchanga ukiwa mbichi. Mbona simple sana kaka
Mtundu wewe!!!
We ni Polisi?
Kinga ni Yesu tu. We ukiamka asubuhi jitakase kwa damu ya Yesu then takasa siku hiyo na jiwekee ulinzi wa damu ys Yesu ukikabidhi chombo unachosafiria na waendeshaji wa chombo hicho mikononi mwa Mungu maana yeye ndiye muweza wa yote.
ha ha ha niulizie na dawa ya kupandishwa cheo nataka kua headmistressIna maana wewe huwezi kupata ajali?
ha ha ha dah jf raha net inasumbua hata likes hazikubali...LIKUD una dawa ya kumsaidia Mwl awe headmistress?
af nahitaji dawa ya mapenzi....na dawa ya kutokukamatwa nataka kuwa punda
kwakweli kama anayo atapiga hela sanaTeh Teh...hii dawa ya kutoshikwa pale air port itasaidia wengi sana.