Picha Inayojitokeza ni kuwa Maandalizi hayakuwa Mazuri! Nini sababu? Ni Ukumbi umechangia? Au Uhamasishaji haukuwa Mzuri? Mliokuwepo tusaidieni kuelewa.
Nchi hizo ulizotaja hawatapokelewa wataingizwa katika kundi la magaidi.
Aslimia 99.9 hapa JF au Tanzania? Jaribu kutafuta takwimu hapa jf kwanza utona makisio yako hayana ukweli.
Mkuu nimerudi Nakukumbusha tu tuko Tanzania 7,000,000/= Kila ilivyo ni lazima kuwe na Uwiano. kwa hiyo Waalimu, Polisi, Magereza ,Jeshi, Maliasili nk wote watataka sio 7m lakini Uwiano wa hizo. Think!
C s, kuna mwandishi mmoja aliandika kitabu "Duniani kuna Watu" Na hapa JF kuna Watu: mradi kuna huo uhuru wa maoni basi watu hujiandikia tu. Kuna wale wasiojua nini kinaendelea Duniani au hata hapa nchi wana mifano ya Ajabu.
Wengi wao wanadhani Demokrasia ni Ruhusa ya kufanya chochote Unachotaka...
Mkuu hakuna anaetishiwa Nyau, kila jambo lazima liwe na Mstari wake, haliwezi kwenda/kuendeshwa bila kuwa na "Limitation" yake.
The so called dhaifu amefikia yake now its up to the Doctors, tha ball is in Doctors court!
Hii hapa kwa kiswahili Chepesi:
"Kutokana na ukweli huo basi kama daktari...
Ni Mattumaini yangu kuwa kwa nguvu za Mwenyezi Mungu Dkt Ulimbaka atapona na ataweza kutoa Maelezo ya Kisa na Tukio lililomkuta kwa Ufasaha zaidi. Kuna maswali mengi yanayohitaji Majibu na baadhi ya hayo ni Muhusika tu ndio anaweza kuyajibu, Na baadhi nyingine Itaweza kujibiwa na Wahalifu wa...
B Obama.
Nadhani umekuja na Hoja nzuri ya kumrudisha Myika na Washabiki wake kwenye Reli
Inawezekana Rais JK ni Dhaifu katika kuiongoza nchi yenye Ghasia za Taifa na Kimataifa.
Myika anaongoza Kajimbo tu UBUNGO na Ahadi Lukuki alizoahidi kumbe zinamshinda!! na hizo atazisukumia kwenye udhaifu wa...
Kwanza uamini kuwa Ipo/Unayo Nyota. Pili je kama unayo ni kweli yaweza kuchafuka? Na tatu kama yaweza kuchauka au kuchafuliwa je yaweza kusafishwa?
Na baada ya hayo ndio hatua ya kuamini ikamilike na ile ya kutafuta Msafishaji Itafuata.
Jitahidi uendelee kutoamini once ukiingia kutoka ni kazi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.