Malaria Sugu
JF-Expert Member
- Jul 7, 2009
- 2,653
- 264
- Thread starter
- #101
Huko chuo labda unasomea digrii ya Islamic knowledge. Kwa jinsi usivyoushirikisha ubongo, ni ajabu kama utaajiriwa taasisi isiyo ya kiislamu.
nimesoma islamic kama dk slaa alivyosoma bible. lkn yeye unamuamini