kwa hiyo hapo umesolve tatizo mkuu? Hujui kama katiba inamruhusu mtu kuwa huru kumchagua na kumsaport mtu yeyote? any way mkapa hakukosea kabsa kuwaita lile jina manaake leo umeudhihirisha mwenyewe ujinga na ulofa wako humu. Tena bila aibu unakuja humu majesticaly et nimemtimua na panga, shame...
Kazi ipo kwa kwel el79. Pia nimegundua hapa wanaojiita wasomi pia wanapenda sana mteremko a.k.a shumbwela ndo maana n rahc kununuliwa kifikra kama ambavyo lowasa anawafanyia sasa hv.
lowassa anajua kabisa hapit ndo maana anaahidi vitu visivyokuwa hata na logic. Any way endeleen kujifariji na kama ni mnufaika wa loan board utarejesha tu fedha ili na mwanao pia anufaike. Polen sana mnaojiita wasomi wakati uwezo wenu kuchanganua mambo umezuiliwa na mahaba.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.