Habari wapendwa. Nimekuwa nikiota hizi ndoto za nyoka mfululizo nashindwa kuelewa kwanini.
Juzi niliota niko kwenye nyumba imezingirwa na nyoka wa aina tofauti wengine hata sijawahi kuwaona wa ajabuajabu wapo kwenye kila chumba isipokuwa chumba tulichokuwepo sisi (nilikuwa na watu wengine kama...
Habari wa JF. Mimi ni binti ambaye nataka niingie shambani kuanza kilimo. Msaada wenu nauhitaji kujua gharama nzima ya kulima kilimo cha umwagiliaji. Kuanzia ukodishaji shamba hadi vifaa vya umwagiliaji pia maeneo gani mazuri na zao gani zuri lenye kuleta faida na gharama za mbegu. Kwenye maeneo...
Mimi ni msichana nina miaka 28 Natafuta kazi Nina diploma ya air ticketing (foundation IATA) Diploma (consultancy IATA) na working experience ya 5years kwa system ya galileo pia Hotel's Front office and Receptionist experience ya 3yrs kwenye 4star hotel. Asanteni
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.