Mimi naona bila kuendeleza kilimo na miundombinu ni ndoto kuendelea. Utalii tumejaribu hatuwezi na si ndege zitaweza kunyanyua utalii, ni mambo mengi mahoteli, operators na mahala pa kufikia ndege moja au mbili haziweze.
Tunatakiwa kuwa na connection kutoka mataifa mbalimbali je tunauwezo wa...
Jiwe ndiye mbaguzi, wachaga hataki wapate chochote anaona ndiyo wachuuzi kesho utasikia makabila yanayotoka kaskazini hakuna mikopo.
Anatamani iwe hivyo si wapiga kura wake tuseme wazi tu akihisi kuna wachaga wengi anavunja mpk nyumba zao
Kivuluge huyo, 2020 anapeta tu nani anaamua atawale ni Wakurugenzi mjomba! nao ndio makada wa ccm, UVCCM wote, mtakoma kuringa mazwazwa bado yako mengi
Ni jambo gumu sana kulihimili wadada wana maringo ya ajabu wakikuona boya mwenye kujishusha. Lkn pia lazima ujue lengo la mwenza mlie korofishana. Mimi ilinichukua miaka zaidi ya mitano lkn hatimae tuliachana baada ya madai kuwa makubwa
Kwa fikra zako anaongopa?
Kwa hiyo serikali ya chini haifanyi kazi yake? Rais ataweza kusikiliza wenye matatizo wote acha upuuzi wako. Yule wa Tanga yuko wapi kwa hiyo walikuwa hawamjui mazwwazwa bana
Wanauza nchi ndiyo uzeni tu ndiyooo[emoji85] [emoji85] [emoji85] , baadae tunaibiwa na hawa wazungu aaaaa ndiyoo[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] , watulipie matrilioni tuliyowapa kwa mikataba fekiii ndiyooo[emoji51] [emoji51] [emoji51] mazwazwa yenye kukalia ndiyyooo tuwape ndiyo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.