Boniphace Kichonge
JF-Expert Member
- Jul 31, 2017
- 1,606
- 1,956
Wadau
Chama Cha Mapinduzi Kimetajwa kuwa miongozi mwavyama Bora vya Siasa Duniani ukiondoka Chama Tawala China. Sababu ya Chama hicho kutajwa kuwa Chama bora ni pamoja na:
1. Mfumo bora wa kurithishana Mafaraka( Succession Plan)
2. Demokrasia iliyotukuka
3. Kuwa Karibu sana na Wananchi hasa Maskini.
4. Sera imara zenye kutetea Wanyonge
5. Kusimamia ipasavyo Harakati za Ukombozi Duniani ikiwemo Nchi za Kusini Mwa Afrika.
6. Chama pekee chenye matawi kila Kijiji Nchini.
7. Kusimamia Amani, Umoja na Mshikamano Ipsavyo.
Ahsanteni
Waweza ongezea mengine mazuri Kama nimesahau
Chama Cha Mapinduzi Kimetajwa kuwa miongozi mwavyama Bora vya Siasa Duniani ukiondoka Chama Tawala China. Sababu ya Chama hicho kutajwa kuwa Chama bora ni pamoja na:
1. Mfumo bora wa kurithishana Mafaraka( Succession Plan)
2. Demokrasia iliyotukuka
3. Kuwa Karibu sana na Wananchi hasa Maskini.
4. Sera imara zenye kutetea Wanyonge
5. Kusimamia ipasavyo Harakati za Ukombozi Duniani ikiwemo Nchi za Kusini Mwa Afrika.
6. Chama pekee chenye matawi kila Kijiji Nchini.
7. Kusimamia Amani, Umoja na Mshikamano Ipsavyo.
Ahsanteni
Waweza ongezea mengine mazuri Kama nimesahau