Recent content by JSmart Mind

  1. J

    JamiiForums Tanzania Temba wa TMK wanaume ashushwa jukwaani baada ya kuwaponda Polisi kwenye jukwaa la wasanii wa CCM uwanja wa UHURU

    Imetosha tayari kuona ni jinsi gani huna la kuongea. Kumbe million 5 halikuwa kosa lako. Sikujua ni mtu wa aina gani wewe[emoji1488][emoji1488]
  2. J

    JamiiForums Tanzania Temba wa TMK wanaume ashushwa jukwaani baada ya kuwaponda Polisi kwenye jukwaa la wasanii wa CCM uwanja wa UHURU

    Acha mambo yako wewe. Milioni 5 unaifahamu vizuri. Usitufanye watoto wadogo
  3. J

    JamiiForums Tanzania Face Recognition System kwa Python

    Nitaattach snippet mkuu
  4. J

    JamiiForums Tanzania Face Recognition System kwa Python

    Ni kwa sababu error ipo hapo tu. Na pia nilipokuwa naandika hii sikuwa na pc kabisa. Pia kwa io issue nikiload tu kawaida video from files inaokubali na manipulation zinafanyika sas issue ni hapo.
  5. J

    JamiiForums Tanzania Face Recognition System kwa Python

    Ninaanza kwa kuuliza, Kama kuna mjuzi wa technology hii ya Python, basi naomba kujua namna ya kuhusisha django, library ya face-recognition na OpenCv library. Nimefanya web app inayofanya hivyo lakn nimekwama kwenye eneo la kufanya recognition kutoka kwenye video, na sababu ni namna ya kuiload...
  6. J

    JamiiForums Tanzania Naomba kujua gharama za ( kutarizi/kudarizi ) t-shirts

    Sijapata, ila naomba kwanza kujua gharama zako
  7. J

    JamiiForums Tanzania Naomba kujua gharama za ( kutarizi/kudarizi ) t-shirts

    Nashukuru mkuu nitazidi kufuatilia
  8. J

    JamiiForums Tanzania Naomba kujua gharama za ( kutarizi/kudarizi ) t-shirts

    Wa kushona na sio kuprint kwa wino?
  9. J

    JamiiForums Tanzania Naomba kujua gharama za ( kutarizi/kudarizi ) t-shirts

    Sijui kama nimekosea kiswahili. Naomba kujua gharama za kudarizi kama sio kutarizi Tshirts. Gharama na pia fundi awe Dsm hapa hapa. Nahitaji sana sana ndugu zangu.
  10. J

    JamiiForums Tanzania Mwenyekiti wa Mtandao wa Wanafunzi aliyeripotiwa kupotea, Abdul Nondo apatikana Mafinga mkoani Iringa

    Kuna laana itakutembelea siku moja
  11. J

    JamiiForums Tanzania Kukithiri kwa vitendo vya utekaji na mauaji: Watanzania kwa ujumla wetu sasa ndio wa kulaumiwa

    Wale wale..... Nahc wameua mbuzi tu... Ww c huoni wala huckii
  12. J

    JamiiForums Tanzania Tanzania yetu really we are victims of our own actions, decisions and blood

    We can if we want. We are the nation.. They are just politicians. Lets do what will change Tz forever and retain our status as the island of peace. Tubadilike na kufikiri vizuri kama watu wenye uchungu na ndugu zetu, watoto wetu, taifa letu, ardhi yetu na damu zetu kwa...
  13. J

    JamiiForums Tanzania Maandamano ya CHADEMA: Aqulina Akwilini Mwanafunzi wa mwaka wa kwanza NIT apigwa risasi na kufariki; Polisi wakiri kuhusika

    This is really painful.... Tunaend pabaya sana. Ni wakati wa kuchukua hatua sasa
Back
Top Bottom