sababu kubwa.kwa wamarekani weusi ni matatizo yanayosababishwa na vyakula na aina ya maisha isiyo ya asili.mijitu isiyo na shepu wao ndio wengi.obama alikuja na muswada wa mambo ya afya kwa maskini aliwalenga ndugu zake.
Sent using Jamii Forums mobile app
hata kama takwimu zinafichwa.equador,brazil,usa fanya hesabu utakayo juu ya uwiano.wa idadi lkn ukweli ni madhara yake afadhali kidogo..maana watu 1000 kwa siku hao wanaoficha na kuzika usiku,uwezo huo wa kuzika hawana.
Sent using Jamii Forums mobile app
sawa kabisa mkuu,tatizo fake nyingi.hamna simu kioo mandemba kama s7 edge,niliweka wakati zinaingia kwa mtu aliewekeza kwenye maduka ya simu.imegongwa aisee imeanguka mpaka nauza nilikua naitumia kama mfano kwa watu.
Sent using Jamii Forums mobile app
kuna kitabu cha dini moja,kina maelezo yafuatayo,siku hiyo jua litakunjwakujwa,nyota zitapukutika,halafu,kakuumbeni kutokakana majimaji yanayotoka kwa kasi,kisha yakawa pande la damu,kisha pande la nyama.kina miaka kama elfu na mia kadhaa.sasa kwa kuangalia umuhimu wa jua na nyota nyingine,na...
halafu hiyo kitu inaitwa notification.labda tuwe tunataja na aina za simu,huenda zinachangia malalamiko,sasa davet.na saint ane mnachangia na najulishwa muda huo huo tena kwa kelele nyingi na natumia app au niliandika jana?
mwaka 90 na mbele kidogo,haikuwepo app yoyote hivyo swala la umri sio kigezo cha uchaguzi,kwenye hii dunia hakuna jambo ama kitu kimejitosheleza.ukichagua azam tv,huwezi tumia antena,ukichagua startime,huwezi ona mpira wa tz.
Sent using Jamii Forums mobile app
simba kumuwinda twiga inabidi kijiji chao kitoke chote.hata mbogo.hawezi kumuua peke yake.simba hawezi kuwinda peke yake hiyo ndio asili yao.angalia the lion rules utaamini.
simba bila familia yake analiwa mpaka na fisi.simba ana ana nguvu ya kun'gata,600 wakati tiger ana 1000 bite force.tiger anawinda alone,wakati simba akibaki mwenyewe mara nyingi hufa kwa njaa.ukikaa na ma phutashangaa huo ufalme kapewa na nani
Sent using Jamii Forums mobile app
mwaka 84 dingi alikua anaoa mke mwingine,wakati huo mlezi wangu ni bibi mkewe babu.kisha tukaanza maisha ya kifamilia mimi dingi na mkewe mpya,na muda si mrefu na sis akazaliwa.kipindi hiki ubaya na wema havikupishana sana ktk mizani sababu ya utoto.miaka kadhaa tukiwa sumbawanga mji wenye...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.