Recent content by Jrkondo

  1. Jrkondo

    ONYO kwa wanaonunua simu humu

    0735495497 Sent using Jamii Forums mobile app
  2. Jrkondo

    ONYO kwa wanaonunua simu humu

    huawei p9 plus 64gb 4gb ram kioo cha camera za nyuma kina mpasuko sio mbaya.270000 Sent using Jamii Forums mobile app
  3. Jrkondo

    Nifanyeje kuwasaidia hawa wanawake waliotelekezwa?

    ndio mkuu, hayo ni maagizo ya mungu, imeandikwa na hao wanawake ishini nao kwa akili. Sent using Jamii Forums mobile app
  4. Jrkondo

    Kwanini Corona haijatuathiri sana waafrika weusi?

    hata kama sio 16,waweza anza na kitongoji chako,kweli kabisa mkuu,juzi ilala bungoni masjd taqwa,ililetwa maiti kuoshwa ilifia nyumbani,watu afya wakapata taarifa wakaja kuuchukua ktk video utaona maiti ipo kwenye mkeka,na wasindikizaji wapo.lkn angalia wanachoamini watu.kwamba watu wanasali mtu...
  5. Jrkondo

    Kwanini Corona haijatuathiri sana waafrika weusi?

    sababu kubwa.kwa wamarekani weusi ni matatizo yanayosababishwa na vyakula na aina ya maisha isiyo ya asili.mijitu isiyo na shepu wao ndio wengi.obama alikuja na muswada wa mambo ya afya kwa maskini aliwalenga ndugu zake. Sent using Jamii Forums mobile app
  6. Jrkondo

    Kwanini Corona haijatuathiri sana waafrika weusi?

    hata kama takwimu zinafichwa.equador,brazil,usa fanya hesabu utakayo juu ya uwiano.wa idadi lkn ukweli ni madhara yake afadhali kidogo..maana watu 1000 kwa siku hao wanaoficha na kuzika usiku,uwezo huo wa kuzika hawana. Sent using Jamii Forums mobile app
  7. Jrkondo

    Tuliowahi kuweka protector aina ya liquid tupeane mrejesho wa maendeleo ya simu zetu kama zilidumu

    sawa kabisa mkuu,tatizo fake nyingi.hamna simu kioo mandemba kama s7 edge,niliweka wakati zinaingia kwa mtu aliewekeza kwenye maduka ya simu.imegongwa aisee imeanguka mpaka nauza nilikua naitumia kama mfano kwa watu. Sent using Jamii Forums mobile app
  8. Jrkondo

    Ulimwengu una mambo mengi ya kujiuliza na kutafakari yathibitishayo uwepo wa Mungu

    kuna kitabu cha dini moja,kina maelezo yafuatayo,siku hiyo jua litakunjwakujwa,nyota zitapukutika,halafu,kakuumbeni kutokakana majimaji yanayotoka kwa kasi,kisha yakawa pande la damu,kisha pande la nyama.kina miaka kama elfu na mia kadhaa.sasa kwa kuangalia umuhimu wa jua na nyota nyingine,na...
  9. Jrkondo

    Application Users Vs Browser Users

    da akuu nimesema labda.
  10. Jrkondo

    Application Users Vs Browser Users

    halafu hiyo kitu inaitwa notification.labda tuwe tunataja na aina za simu,huenda zinachangia malalamiko,sasa davet.na saint ane mnachangia na najulishwa muda huo huo tena kwa kelele nyingi na natumia app au niliandika jana?
  11. Jrkondo

    Simba vs Tiger

    nimecheka mpaka naenda kubadili bo...,halafu nimemkumbuka bro wako,yule wa usa mario van pebles.
  12. Jrkondo

    Application Users Vs Browser Users

    mwaka 90 na mbele kidogo,haikuwepo app yoyote hivyo swala la umri sio kigezo cha uchaguzi,kwenye hii dunia hakuna jambo ama kitu kimejitosheleza.ukichagua azam tv,huwezi tumia antena,ukichagua startime,huwezi ona mpira wa tz. Sent using Jamii Forums mobile app
  13. Jrkondo

    Simba vs Tiger

    simba kumuwinda twiga inabidi kijiji chao kitoke chote.hata mbogo.hawezi kumuua peke yake.simba hawezi kuwinda peke yake hiyo ndio asili yao.angalia the lion rules utaamini.
  14. Jrkondo

    Simba vs Tiger

    simba bila familia yake analiwa mpaka na fisi.simba ana ana nguvu ya kun'gata,600 wakati tiger ana 1000 bite force.tiger anawinda alone,wakati simba akibaki mwenyewe mara nyingi hufa kwa njaa.ukikaa na ma phutashangaa huo ufalme kapewa na nani Sent using Jamii Forums mobile app
  15. Jrkondo

    Upotoshwaji juu ya mama wa kambo

    mwaka 84 dingi alikua anaoa mke mwingine,wakati huo mlezi wangu ni bibi mkewe babu.kisha tukaanza maisha ya kifamilia mimi dingi na mkewe mpya,na muda si mrefu na sis akazaliwa.kipindi hiki ubaya na wema havikupishana sana ktk mizani sababu ya utoto.miaka kadhaa tukiwa sumbawanga mji wenye...
Back
Top Bottom