"Wanajiamini nini hawa viumbe??????
Huo mstari ume triger mazingira ambayo imepitia miaka 2 nyuma kwa mwanamke aliyeniuzia msala nikalea mimba mpaka mtoto kwa miezi kadhaa mpaka nilipokuja kugundua mtoto sio wangu na kuamua ku move on bila hata ya kumpiga singi tu yani kwa amani,huwezi amini...
1.Nimebwagiwa simu ya tachi kwa elfu 20 kwa ahadi ya kulipa ndani ya wiki moja lakini mwezi unakata sasa na yupo kimya tu.
2.Mwengine mpangaji mwezangu naye mwaka unakakaribia kukata kwa ahadi ya wiki moja atarejesha,nimebaki namwangalia tu na alivyo kauzu akipataga changamoto ananikimbilia...
Majuzi tu hapo kuna mmoja kaleta ujanja huo anakaa kilometer chache tu nilipo,ameelekeza nimtumie nauli kwa kiasi alichotaka baada ya kumtumia ananipigia akiwa na wenzie ananiambia hii haitoshi huku wakicheka kwa sauti,kosa alilofanya hakua ametoa ile pesa,nilifahamu hilo baada ya kuingia kwenye...
Kwamba kachoka kuchezewa bila ya kukutana na hiyo bahati aliyoikuta kwako hivyo weye hupendwi ni vile tu umempa option ya kitu alichokua anakisaka kwa robo karne
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.