Recent content by jr.kiyn

  1. jr.kiyn

    JamiiForums Tanzania Simu imeokotwa

    Hapana mkuu ni miongoni mwa ushauri niliopokea kutoka kwa wadau mbalimbali kwa usalama wa pande zote mbili,utanisamee kama sijatenda vyema kwenye hili.
  2. jr.kiyn

    JamiiForums Tanzania Simu imeokotwa

    kituo cha police pangani ilala
  3. jr.kiyn

    JamiiForums Tanzania Simu imeokotwa

    HABARI WAKUU,NAPENDA KUCHUKUA NAFASI HII KUWASHURU KWA SUPPORT YENU ILA NAWAJULISHA YA KWAMBA MWENYE SIMU AMEPATIKANA NA TUMEMKABIDHI KWENYE VYOMBO VYA SHERIA KITUO CHA PANGANI ILALA.
  4. jr.kiyn

    JamiiForums Tanzania Simu imeokotwa

    nimeshafanya hivyo kabla.sijatuma huku
  5. jr.kiyn

    JamiiForums Tanzania Simu imeokotwa

    haya ndugu kama wahisi hivyo ila siwezi kufikia huko kwani hakuna nitakachopata kwa.huko kutrend.
  6. jr.kiyn

    JamiiForums Tanzania Simu imeokotwa

    hiyo picha ni wallpaper simu ina lock
  7. jr.kiyn

    JamiiForums Tanzania Simu imeokotwa

    asante kwa ushauri lipo kwenye maelekezo hilo
  8. jr.kiyn

    JamiiForums Tanzania Simu imeokotwa

    Duh,hapana mkuu sipo huko ila simu ni.SAMSUNG S24 ULTRA
  9. jr.kiyn

    JamiiForums Tanzania Simu imeokotwa

    SAMSUNG S24 ULTRA
  10. jr.kiyn

    JamiiForums Tanzania Simu imeokotwa

    jana tulikuwepo eneo ilipokotwa simu lakini haikuzaa matunda mkuu
  11. jr.kiyn

    JamiiForums Tanzania Simu imeokotwa

    na.kwenye hili kwa.hakika sihitaji chochote
  12. jr.kiyn

    JamiiForums Tanzania Simu imeokotwa

    hapana mkuu
  13. jr.kiyn

    JamiiForums Tanzania Simu imeokotwa

    Kwa yeyote anaye mfahamu kwenye hiyo picha tuwasiliane mana kuna simu imeokotwa ina picha hiyo
  14. jr.kiyn

    JamiiForums Tanzania Miaka 15 hivi iliyopita jamaa yangu alioa mwanamke ambaye walikuwa wamekutana miezi kama 3 tu iliyopita

    "Wanajiamini nini hawa viumbe?????? Huo mstari ume triger mazingira ambayo imepitia miaka 2 nyuma kwa mwanamke aliyeniuzia msala nikalea mimba mpaka mtoto kwa miezi kadhaa mpaka nilipokuja kugundua mtoto sio wangu na kuamua ku move on bila hata ya kumpiga singi tu yani kwa amani,huwezi amini...
  15. jr.kiyn

    JamiiForums Tanzania Vyeo vya Usalama wa Taifa (TISS) – Kuanzia cha chini hadi cha juu

    Dah,mbona sikioni cheo changu hapo, unanijua mimi nani?¿
Back
Top Bottom