Recent content by jr.kiyn

  1. jr.kiyn

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Miaka 15 hivi iliyopita jamaa yangu alioa mwanamke ambaye walikuwa wamekutana miezi kama 3 tu iliyopita

    "Wanajiamini nini hawa viumbe?????? Huo mstari ume triger mazingira ambayo imepitia miaka 2 nyuma kwa mwanamke aliyeniuzia msala nikalea mimba mpaka mtoto kwa miezi kadhaa mpaka nilipokuja kugundua mtoto sio wangu na kuamua ku move on bila hata ya kumpiga singi tu yani kwa amani,huwezi amini...
  2. jr.kiyn

    JamiiForums Tanzania Vyeo vya Usalama wa Taifa (TISS) – Kuanzia cha chini hadi cha juu

    Dah,mbona sikioni cheo changu hapo, unanijua mimi nani?¿
  3. jr.kiyn

    JamiiForums Tanzania Ulimwengu wa ndege katika picha mbalimbali

  4. jr.kiyn

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Hii ndiyo surprise niliyomfanyia x-wangu aliyetaka kupasha kiporo

  5. jr.kiyn

    JamiiForums Tanzania Ni mapngo maalumu kuweni makini

    WACHOKONOZIIIII
  6. jr.kiyn

    JamiiForums Tanzania Kopesha ushangazwe

    1.Nimebwagiwa simu ya tachi kwa elfu 20 kwa ahadi ya kulipa ndani ya wiki moja lakini mwezi unakata sasa na yupo kimya tu. 2.Mwengine mpangaji mwezangu naye mwaka unakakaribia kukata kwa ahadi ya wiki moja atarejesha,nimebaki namwangalia tu na alivyo kauzu akipataga changamoto ananikimbilia...
  7. jr.kiyn

    JamiiForums Tanzania Ulimwengu wa ndege katika picha mbalimbali

  8. jr.kiyn

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ushauri: Nilimuacha mtoto kwa baba yake akiwa na miaka 6 je mahakama itanipa mtoto wangu

    Kama hii stori ni kweli basi hutaki mtoto ila unataka ela ya malezi ya mtoto Tu ili upoze joto la mtaa
  9. jr.kiyn

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kwanini hujaoa ama kuolewa hadi sasa??

  10. jr.kiyn

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Baada ya tendo akasema namchafua!

    Watu wenyewe ndio kama hawa,utamwezea wapi huyu?
  11. jr.kiyn

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Tuliowahi kuliwa na ya kutolea, karibuni kijiwe hiki hapa

    Majuzi tu hapo kuna mmoja kaleta ujanja huo anakaa kilometer chache tu nilipo,ameelekeza nimtumie nauli kwa kiasi alichotaka baada ya kumtumia ananipigia akiwa na wenzie ananiambia hii haitoshi huku wakicheka kwa sauti,kosa alilofanya hakua ametoa ile pesa,nilifahamu hilo baada ya kuingia kwenye...
  12. jr.kiyn

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Bahati haiji mara mbili..

    Kwamba kachoka kuchezewa bila ya kukutana na hiyo bahati aliyoikuta kwako hivyo weye hupendwi ni vile tu umempa option ya kitu alichokua anakisaka kwa robo karne
  13. jr.kiyn

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mume anataka kumuacha mke kisa kumpeleka mtoto shule na ex wake

Back
Top Bottom