Wakuu nawasilimuni,
Nimebaini kwamba baada ya jina la Katibu wa Bunge wa sasa Mh. Nenelwa J. Mwihambi kumekuwa na kifupisho cha 'ndc'. Napenda kufahamu nini maana ya kifupisho hicho?
Shukrani!
JENERALI kinachomkera ni namna watu walivyomiminika kumlilia JPM, alitegemea watu wasimzike vizuri shujaa wao.
Eti JPM alijiona IMMORTAL yaani mwenye kuweza kuishi milele, matusi mabaya hayo JENERALI. Ungemtendea haki JPM ungetafuta hata hotuba zake uka'quote' kama kweli alijimwamba kiasi...
Mkuu huyo baba wa hapo kazini kwenu si inawezekana michango yake labda haijaenda yote kwenye mfuko, au hata labda kuna issue ma'document'.
Jiwe docs zote ziko fresh ingebidi iwe chap tu. Halafu hayo mambo ya fao la kujitoa si mambo ya kisheria tu mkuu na as long as bado tunaishi mabadiliko ya...
Mzee Benjamin Mkapa (Mungu amrehemu) kwenye kitabu chake katika sura za mwisho alitafakari kidogo juu ya mambo kiongozi wa umma anayozushiwa pamoja na utendaji wake mzuri.
Mzee Mkapa alisimulia namna Costa Rica Mahalu Balozi mwema alivyozushiwa zigo la rushwa tena kwa kusingiziwa na likamtesa...
Ndoto hiyo umeota kwa sababu kichwani mwako na mawazoni mwako unaichukia sana pombe kiasi cha kwamba hupati picha itawezekanaje itokee unywe pombe haswa ukizingatia ladha yake mbaya labda na athari zake.
Kwa hiyo mawazo hayo ya namna unavyochukia ndo yamekuja usiku kama ndoto ya mtindo huo...
Imekuwepo tabia ya single mothers kuwalea mabinti zao kwa namna ambayo wao wanadhani ni sahihi wakati sio. Kina mama hao huwalea watoto kwa kuwadekekeza kupita kiasi, kuwapa maisha ya anasa nyingi na kuwajengea mitizamo hasi kuhusu wanaume, mahusiano na maisha ya jumla.
Utakuta single mother...
Nimekuwa mwanafunzi DUCE hadi 2015, vyoo ni shida. Kuna siku utakuta vyoo vyote vimeziba mzigo uko juu. Contractor wa hilo jengo la vioo ndo kaniacha hoi, sijui aliwaza nini kuweka vyoo vya kukalia. Ajabu hata jengo jipya kabisa (TPC) lina vyoo vya kukalia na vya kawaida kwa mgawanyo kama nusu...
Waangalizi wa uchaguzi hualikwa kwenye chaguzi zote. Hii sio mara ya kwanza kutoa mwaliko kama huo. Uchaguzi uliopita waangalizi walialikwa wakaomba rasmi wakaenda. Marekani hakuomba kuwa mwakilisha ila baadae akatoa maoni yake, hapo ndipo ikamvaa kumhoji mbona hukuwa mwangalizi umeyapataje hayo.
Kuanzia saa 1 leo, ITV, CLOUDS, STAR TV, EATV na Channel 10 hazipo kwenye king'amuzi cha star times.
Sijajua kama nao wameungana na ndugu zao kuondoa locals au labda wamepewa maelekezo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.