Louis II
JF-Expert Member
- Mar 9, 2018
- 3,030
- 4,651
wakuu!!
Nilipata bahati ya kwenda chuo cha Ualimu DUCE (pale karibu na uwanja wa Taifa) kwa lengo la kuonana na uongozi wa chuo kuandaa project yetu moja inayohusu Environmental Protection and Cleanness, kwa Taasisi za elimu ya juu ambapo nilichagua kutumia Vyuo vikuu vitatu (DUCE, ARDHI na Mlimani).
Nilipofika hapo DUCE, nilianza kuzungukia maeneo yao mule ndani kujiridhisha na Prior-Information za usafi na utunzaji wa mazingira wa hapo chuo. Kiukweli to some extent chuo kile kinajitahidi sana kwenye masuala ya usafi wa mazingira yao ila tatizo lilikuwa sehemu moja tu (tena nyeti Sana) nalo ni tatizo la vyoo na chambers zake.
Kiukweli vyoo vya pale DUCE bado haviridhishi kwani vinahatarisha hata afya za wanafunzi na wengine wanaovitumia bahati mbaya zaidi wanao athirika zaidi ni upande wa wanafunzi.
Zile chemba za Vyoo vya DUCE zina hali mbaya, hasa zile zilizopo jirani na Cafeterias (zinatoa harufu nzito sana na zimejaa) jambo ambalo ni kero kwa Wanafunzi wanaopendelea kukaa jirani na maeneo hayo kujisomea na kupata chakula.
Lakini, kubwa zaidi ni vyoo vyao hasa vilivyoko kwenye Lile Jengo lao lenye vioo (nimeuliza nimeambiwa linaitwa New Lecture Hall) aisee nimekuta vyoo vya kukaa badala ya kuchuchumaa kitu ambacho ni hatari kwa matumizi ya ya wanafunzi zaidi ya 8000. Si hivyo tu, Bali pia vyoo vile ni vichafu na havistahili kutumiwa na University students.
Kwa mtindo ule wa vyoo vya kukaa pale duce sijui wahusika (viongozi) walifikiria nini kwani inajulikana kuwa vyoo vya kukaa havifai kuweka ama kutumiwa sehemu yenye watu wengi kama ile ya chuo.
Kiukweli Wahusika Wa DUCE, naomba mchukuwe hatua za haraka kufanya marekebisho ya toilet systems zenu. Na vile vyoo vya kukaa kule kwenye jengo La vioo mhakikishe mnavitoa na kuweka vya kuchuchumaa ili kuepusha mlipuko wa magonjwa ya kuambukizana kwa wanafunzi. Ni aibu kwa chuo kikubwa kama chenu kuwa hivyo japo kwenye report yangu sijawaandika vibaya but sikutegemea nilichokishuhudia, badilikeni!!
Nitafurahi iwapo nitarudi wakati mwingine na kukuta improvements. Ahsanteni!!!
NB: Mlimani wapo vizuri Ila Ardhi wana matatizo yanayofanana na Yale nilliyo yakuta DUCE.
Nilipata bahati ya kwenda chuo cha Ualimu DUCE (pale karibu na uwanja wa Taifa) kwa lengo la kuonana na uongozi wa chuo kuandaa project yetu moja inayohusu Environmental Protection and Cleanness, kwa Taasisi za elimu ya juu ambapo nilichagua kutumia Vyuo vikuu vitatu (DUCE, ARDHI na Mlimani).
Nilipofika hapo DUCE, nilianza kuzungukia maeneo yao mule ndani kujiridhisha na Prior-Information za usafi na utunzaji wa mazingira wa hapo chuo. Kiukweli to some extent chuo kile kinajitahidi sana kwenye masuala ya usafi wa mazingira yao ila tatizo lilikuwa sehemu moja tu (tena nyeti Sana) nalo ni tatizo la vyoo na chambers zake.
Kiukweli vyoo vya pale DUCE bado haviridhishi kwani vinahatarisha hata afya za wanafunzi na wengine wanaovitumia bahati mbaya zaidi wanao athirika zaidi ni upande wa wanafunzi.
Zile chemba za Vyoo vya DUCE zina hali mbaya, hasa zile zilizopo jirani na Cafeterias (zinatoa harufu nzito sana na zimejaa) jambo ambalo ni kero kwa Wanafunzi wanaopendelea kukaa jirani na maeneo hayo kujisomea na kupata chakula.
Lakini, kubwa zaidi ni vyoo vyao hasa vilivyoko kwenye Lile Jengo lao lenye vioo (nimeuliza nimeambiwa linaitwa New Lecture Hall) aisee nimekuta vyoo vya kukaa badala ya kuchuchumaa kitu ambacho ni hatari kwa matumizi ya ya wanafunzi zaidi ya 8000. Si hivyo tu, Bali pia vyoo vile ni vichafu na havistahili kutumiwa na University students.
Kwa mtindo ule wa vyoo vya kukaa pale duce sijui wahusika (viongozi) walifikiria nini kwani inajulikana kuwa vyoo vya kukaa havifai kuweka ama kutumiwa sehemu yenye watu wengi kama ile ya chuo.
Kiukweli Wahusika Wa DUCE, naomba mchukuwe hatua za haraka kufanya marekebisho ya toilet systems zenu. Na vile vyoo vya kukaa kule kwenye jengo La vioo mhakikishe mnavitoa na kuweka vya kuchuchumaa ili kuepusha mlipuko wa magonjwa ya kuambukizana kwa wanafunzi. Ni aibu kwa chuo kikubwa kama chenu kuwa hivyo japo kwenye report yangu sijawaandika vibaya but sikutegemea nilichokishuhudia, badilikeni!!
Nitafurahi iwapo nitarudi wakati mwingine na kukuta improvements. Ahsanteni!!!
NB: Mlimani wapo vizuri Ila Ardhi wana matatizo yanayofanana na Yale nilliyo yakuta DUCE.