Arudi Hospitalini.
Sio mtu unaambiwa yuko Hospital alafu unamuona Mareka au German.
Kwanza akijia ndio haitanyesha kabisa.
Aendelee na ziara zake huko
Sent from my iPhone using JamiiForums
Hapo kwangu sijaona:
Makelele tu na kuongea kwa nguvu jukwaani ila point zitakuwa chache.
Binafsi siwafagilii kwani sijaona jipya kwao zaidi ya makelele
Sent from my iPhone using JamiiForums
Huyo mtoto ana miaka mingapi? Na sheria inamtambua kama minor au major?
Na wakati wa tukio alikuwa na umri gani:
Pia tujiulize tukio la kuchoma kituo cha police je linakubalika au tunawatetea tu?
Kama ni kweli walifanya kitendo hicho tuacheni sheria ichukue mkondo wake.
Unajua wakati mwingine inabidi tufikirie hatua moja mbele.
Mtu anakuambia hatarudi mpk daktari wake amruhusu.
Ila hayuko Hospital .yupo ziara za kisiasa.
Unaposema uchunguzi huru unamaanisha waje watu wa nje wachumguze.mbona mauani ya Kibiti hamkusema hilo.au mauaji ya watu wenye ulemavu wa...
Tunapitoa maoni pia tunatakiwa tuelewe majukumu ya Rais:tusiongee tu kwa hisia zetu na pia tuache mihemko ya kisiasa.
Wanadamu hawana jema:
Mtu akisafiri utawasikia mara ohh anaharibu pesa:
Akikaa ndani utawasikia ohhh anaogopa.
Asipoenda kutembelea wananchi utasikia ohhh anakaa tu:
Akienda...
Naomba kuuliza
Katika ngazi za siasa aliyeghushi cheti ni mmoja tu??
Kama jibu ni hapana
Mbona wengine hatuwataji:
Pia mimi ningeshauri mwenye ushahidi kamili apeleke mahakamani
Kuongelea kwenye mitandao na majukwaani ni dalili ya woga:
Chombo pekee cha kumtia mtu hatiani au kumsafisha kuwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.