njia rahisi sana kumkataa mwanaume anayekutongoza ni kumpiga mzinga, we kama hutaki call na sms zake mara kwa mara usipate shida kujieleza, piga mzinga tu tena wa maana ikatokea kakupa piga tena mkubwa zaidi trust me, baada ya wiki atakata mawasiliano na kuja kufungua uzi JF na kulalamika kwa what app groups kuwa wanawake wanapenda mzinga
Na huu ndiyo ukweli...Mkuu sahiv mapenzi biashara, mwanamke anaekupenda toka moyoni cjui utampata wapi...hata mm nlikuwa na mawazo kama yako, ila sahiv nimekubaliana na hali jinsi ilivyo...if u can't beat them join them. tpaul