MWALLA
JF-Expert Member
- Dec 12, 2006
- 16,992
- 10,497
mbona unafanana na AIR HOSTEJIMembe anaenda
ACT ili kuidhohofisha Nguvu CDM.
kwa ahadi kuwa 2025 Atasimama yeye
kumbuka yeye bado ananafasi ya kuwepo miaka 6 mbele tofauti na Lowassa.
Kuna wabunge na baadhi ya wenyeviti wa mikoa wa CDM
Wataondoka chamani kuanzia mwezi wa 6 Mwaka Huu mpaka mwezi wa 8/2020
Hawa ndiyo watateuliwa kuwa wagombea kupitia ACT na ambao watajifanya ku choropoka na Membe CCM nao watasimamishwa tena .
baada ya Ngwe ya 2025 Kati Kati,Yale masalia yatafanya UHUNI Kama walivyofanya Ngwe ya 2015/2020
mpaka kufikia 2025 UPINZANI UTAKUWA UMEKUFA RASMI
NA NCHI ITAGEUZWA KAMA CHINA.
KATIBA ITABADILISHWA Na FIGISU ITAIBUKA NDANI YA CHAMA,
MPAKA Yule mamaluki Atakayepelekwa ACT atakosa Power
na kusimika UTAWALA WA JIWE RASMI
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app