Recent content by jozzeva

  1. jozzeva

    TANZIA Mwanamuziki mkongwe, Said Mabera afariki dunia

    Apumzike kwa Amani Said Mabela.
  2. jozzeva

    Dawa ya kuondoa mvi kichwani

    Mi nshajizoelea kitambo,Ukinikuta nimeziachia nywele alafu nimepiga miwani ya macho unaweza sema Doctor Sempindu.
  3. jozzeva

    Kijana mtanzania ashinda tuzo ya mjasiliamali mdogo zaidi Afrika

    Hongera kwake, nyota njema huonekana alfajiri.
  4. jozzeva

    Mwanajeshi mstaafu wa Uingereza kafia mtaani- kumbe kwetu afadhali

    Dah kweli Mkuu nimepotea sana sema niko poa tu,Mishe tu zimezidi sema tuko Pamoja.
  5. jozzeva

    Rais Magufuli Unasababisha Chuki na Uchochezi Dhidi ya Wachaga

    Kwa mfano Mkuu Wachaga ni Watu wazuri kwenye Pesa?Mangi labda umuwachie Mavi nayo pia atayafanya Mbolea.
  6. jozzeva

    Kakamega: Man breaks into bank, poops in the banking hall

    Jamaa kaona bora akate Gogo kuliko kuchukua Pesa.
  7. jozzeva

    Tanzia: MwanaJF Gottee afariki dunia akiwa hospitali ya Muhimbili-Mloganzila

    Hakuna atakayebaki juu ya Dunia,Apumzike kwa Amani Brother Gottee.
  8. jozzeva

    Msaada: Nguruwe wanakataa kula chakula

    Mi najuwa Nguruwe anakula mpaka Mavi,Sasa kama msosi kaushindwa nguruwe basi utakuwa ndaza.
  9. jozzeva

    Kenya confirms first case of Corona Virus

    Mafua na Homa si Magonjwa hatari kwa Mtu Mweusi.
  10. jozzeva

    Msamvu Morogoro

    Pamoja sana Mji kasoro Bahari.
  11. jozzeva

    Baada ya Alikiba sasa ni Nandy alalamika kushushiwa views Youtube

    Watu wangine bwana wao wanajuwa Views You tube unaweza ukaongeza au kupunguza kama sauti ya Redio.
  12. jozzeva

    Ubishani! Kati ya Tanasha/Kenya na Muncy /Tanzania nani mzuri

    Weka picha wametoka kuamka au wanapiga Mihayo.
Back
Top Bottom