Kuwapigia kura Chadema ni sawa sawa na kutumbukiza mkate chooni... Baada ya Mwaka unasikia amejiuzulu uanachama na kuhamia CCM kuunga mkono juhudi... Ni bora kuwapigia CCM kabisa
Si dhambi kupishana mawazo... Kwa walichokifanya wajati huu ndio kupishana mawazo kwenyewe? Mti anazusha na kufurahia Rais amekufa ndio wakumpa uongozi? Huoni akili za huyo mtu kuwa hazipo sawa?
Kwa ujinga waliouonyesha kwenye mitandao kuhusu taarifa za uzushi za hali/afya Rais ni wazi kuwa Chadema hawastahili hata uenyekiti wa mtaa... Tuendelee kuchapa kazi...
Uzi Tayari
Jovic Jovic
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.