Recent content by jottasyl

  1. J

    Waliochaguliwa SUA 2017/18 tukutane hapa

    Wanaoijua PhD in Agriculture and Rural Innovation by course work na research wanipe maujuzi hapa
  2. J

    Kwanini Nyerere hakutaifisha seminari za Katoliki?

    Zingine ni Kwiro secondary (Ifakara), Matogoro TTC (Songea), Kigonsesa secondary (Songea), Ngaza Secondary (Mwanza), Nsumba Secondary (Mwanza), Tosamaganga, Kigurunyembe TTC, na shule nyingi sana za msingi. Wakatoliki wakiamua kudai shule na vyuo vyao, serikali haitabaki na kitu zaidi ya shule...
  3. J

    Tusipokemea, Redio Imaan itatuvuruga

    Kuna kitu kimoja nataka niikumbushe jamii kuwa, kwa Wakatoliki, dini, elimu na afya ni vitu vinavyopikwa katika chungu kimoja (education is part of evangelization for Catholics). Ndio maana wakijenga kanisa, pembeni yake lazima wajenge shule na kituo cha afya. Naomba hao wenzetu waige hili kwani...
  4. J

    BAKWATA yatangaza rasmi waislam kugomea sensa!

    Naunga mkono hoja yako ila naogopa baadhi ya dini zitaumbuka kwa hoja yako namba 1 na 2.
  5. J

    BAKWATA yatangaza rasmi waislam kugomea sensa!

    Huwezi kufananisha Tanzania na Uingereza, Misri, au Israel. Wamepevuka kifikra na nchi kama yetu ni rahisi sana raia kukimbilia kwenye vurugu za kidini au kikabila. Nawashauri wenzetu watumie muda mwingi kuzungumzia maendeleo ya kuwakwamua waumini wao kupambana na adui ujinga na umaskini.
  6. J

    Jibu la prof Sheriff kwa prof Tibaijuka

    Zanzibar ni mzigo kwa maendeleo ya Tanganyika!
Back
Top Bottom