Hivi upumbavu wao umeanza lini! Fahamu kuwa kama ni wapumbavu kwa asili, ni dhahiri wameratibu upumbavu muda mrefu sana na huenda wametuachia mengi ya kipumbavu. Na kwa upumbavu huo; Upumbavu hautakoma maana kwa desturi upumbavu nayo ni sifa kama urefu na ufupi. "JKN".
@Mzee Mwanakijiji, mbali na Ulinzi; hiki chama chetu kilikuwa na utaratibu mzuri wa kumpata "candidate" . Obviously ndiye at most akikuwa raia namba moja. Indeed. Zile sifa hazikuwa connected na ulinzi kabisa. Tunakwama wapi?
"Gamba la Nyoka" utunzi wa E. Kezirahabi. Kitabu kizuri sana kile. Nilikisoma zamani sana mkuu na sikubahatika kukiweka kwenye maktaba yangu. Unakijua?
Hapa ndipo tunapokosea. Simba amecheza klabu bingwa afrika na hakucheza na Azam, Lipuli, mbao wala Yanga. Kipimo chake ni Klabu bingwa Afrika. Hesabu za Simba zimekuwa za hovyo sana hasa alipotegemea uwanja wa nyumbani tu. Ni hiviiii, ingekuwa ni mashindano ya mtoano kuanzia game one basi ni...
Ni rahisi kuchomoa ten ten kwa baadhi ya mafungu ya milioni lakini sio 150k katika fungu la milioni-moja, mbili kwa bulk figures kama hizo unazihakiki chumba maalum kwa kutumia machine. Wewe ni mzembe kama wazembe wengine
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.